USHAHIDI zaidi wa Green Guard ya CCM, mahusiano na vyombo vya dola, serikali ndiyo walezi

attachment.php
 
Pamoja na Mkuu wa Wilaya (Kiongozi wa Serikali) kuwa ndiye MLEZI wa Green Guard (chombo cha Chama), angalieni mambo wali/wanayojifunza:-


  1. Muundo wa Green Guard
  2. Mambo ya Uchaguzi Mkuu
  3. Kanuni za Uchaguzi
  4. Wajibu wa nafasi ya vijana wa CCM katika kuleta ushindi wa CCM
  5. Usalama wa Chama, Viongozi na Mali za Chama
  6. Uenezi na Uhamasishaji wa Chama
  7. Sera za CCM
  8. Ulinzi na Usalama
  9. Maadili ya Chama
  10. Mahusiano ya Green Guard na vyombo vya Dola

Wakuu hayo ndio mambo wanayofundishwa hawa Green Guards; kazi kwenu kudadavua lipi liko sawa au lipi lenye matatizo. Kazi kwako msomaji.

Nakala: Ritz, FaizaFoxy, HAMY-D, Jichola3, Mingoi, m 23, Lizaboni, et. al. Tunaombeni ufafanuzi wa hili suala.
 
Last edited by a moderator:
Msajiri kasema apelekewe

Hajui kazi wala majukumu yake. Anajua kufanya kazi aliyokuwa akifanya Tambwe Hiza. Ile ofisi haikufungwa, isipokuwa ilihamishwa makazi kutoka Lumumba, kwenda ofisi ya umma, kwa John Tendwa.
 
Haya lizaboni mkuu wa zamu leo.
Hebu nifafanulie hiyo number (x)
Mahusiano ya Green Guard na Vyombo vya Dola.
Hapo mnakuwa na mafunzo gani au mahusiano gani??
 
Hukumu yao imekaribia na lichama lao

Makalanja

Mbona tayari walishaanza kuhukumiwa. Hata wao wanajua. Hawana ushawishi tena. Chama hicho kimeshajeruhiwa vibaya mno. Hakiwezi tena kusimama. Kama ni mti, imebakia mizizi michache sana, shoka moja, mbuyu chini.
 
Red Bridgade ni kikundi ya watesaji, watekaji, wang'oa kucha na meno, wamwagia tindikali na watembea na sumu

jamaa alisema mapema kabisa kuwa ninyi wanaccm mmekuwa watu wa kurudia rudia maneno. hamna hoja wala jipya. mapya yote mnayapata kwa mgonjwa wa akili wa kudumu aitwaye mwigulu. ulivyorudia hoja zake, nikakubaliana na mtoa hoja. kweli mmeshashindwa.
 
Ukweli una tabia ya kukawia kufika unakokwenda lakini lazima ufike tu..Nimemkumbuka ndugu yangu Mohamed Mtoi

Shame on CCM, shame on Jeshi la Polisi, shame on John Tendwa
 
Makalanja

Mbona tayari walishaanza kuhukumiwa. Hata wao wanajua. Hawana ushawishi tena. Chama hicho kimeshajeruhiwa vibaya mno. Hakiwezi tena kusimama. Kama ni mti, imebakia mizizi michache sana, shoka moja, mbuyu chini.

zizi lenye n'gombe wazee na watoto wachache sana. mbaya zaidi watoto wachache waliopo ni madume tasa na mashoga.
 
ccm ilikuwa ya nyerere na akina kolimba walipokaga dunia waliondoka na chama chao hadhi ya ccm iko kaburini. Ukimuona mwigulu,wasira, pinda,rukuvi, naona giza linakuja kwa kasi. waliobaki ccm uwezo wao umefifia ndo maana wanatumia jeshi la polisi kuua watu wakidhani watarudisha heshima. Wenye hekima zetu tumeihama ccm wakati inasubiri anguko 2015
 
Pamoja na Mkuu wa Wilaya (Kiongozi wa Serikali) kuwa ndiye MLEZI wa Green Guard (chombo cha Chama), angalieni mambo wali/wanayojifunza:-


  1. Muundo wa Green Guard
  2. Mambo ya Uchaguzi Mkuu
  3. Kanuni za Uchaguzi
  4. Wajibu wa nafasi ya vijana wa CCM katika kuleta ushindi wa CCM
  5. Usalama wa Chama, Viongozi na Mali za Chama
  6. Uenezi na Uhamasishaji wa Chama
  7. Sera za CCM
  8. Ulinzi na Usalama
  9. Maadili ya Chama
  10. Mahusiano ya Green Guard na vyombo vya Dola

Wakuu hayo ndio mambo wanayofundishwa hawa Green Guards; kazi kwenu kudadavua lipi liko sawa au lipi lenye matatizo. Kazi kwako msomaji.

Nakala: Ritz, FaizaFoxy, HAMY-D, Jichola3, Mingoi, m 23, Lizaboni, et. al. Tunaombeni ufafanuzi wa hili suala.

Mkuu dudus,unataka kuniambia haya masomo wanayopitia ndo ujasiriamali aliokuwa anausema makamu katibu mkuu bara? Hivi kwa nini watu huwa wanashindwa hata kupangilia uongo wao? Au ndo kusema maana ya neno ujasiriamali ndo hii siku hizi?
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo kuna kitu gani kipya ulicholeta kwenye hizo hati?

Huwezi ukaona kipya kwani unaendekeza njaa na ili ule ni lazima ujidhalilishe kwa mwigulu. Huna tofauti na dada poa. Hadi mwigulu akuambie kuwa hiki ni kipya ndio ujue kuwa ni kipya. Pole msukule.
 
Sasa huyu mzee john tendwa nani atakayemsajili ili nae awe tawi la masisiem maana kwa ushaidi huu halafu anajifanya kipofu ni wazi ana mapungufu kama sio kwenye ubongo basi hata tumboni wanakotumia kufikiri...aibu gani hii jamani!!
 
Mkuu dudus,unataka kuniambia haya masomo wanayopitia ndo ujasiriamali aliokuwa anausema makamu katibu mkuu bara? Hivi kwa nini watu huwa wanashindwa hata kupangilia uongo wao? Au ndo kusema maana ya neno ujasiriamali ndo hii siku hizi?

Ni ujasiliamali kwani baada ya mafunzo green guards wengi huwa drugs mules au punda wa madawa ya kulevya. Ndio maana wauza unga ni wanaccm.
 
Last edited by a moderator:
Huu ujasiriamali wa kufundishana kushika mitutu ya bunduki hauna tija kwa taifa
 
Ndiyo hyu hapa akitoa mafunzo

c21fMoshi-Changa.jpg
uh tumekwisha mkuu wa wilaya anasimamia green gurd kazi ipo HUYU DC namjua alikuwa ni mkuu wa wilaya ya Mbeya mjini wakuitwa Mushi Chan'ga na hata wilaya moja kule Bukoba aliwahi kuwa mkuu wa wilaya kumbe hatari hivyo. VIVA CDM

D
 
Back
Top Bottom