USHAHIDI zaidi wa Green Guard ya CCM, mahusiano na vyombo vya dola, serikali ndiyo walezi

Ccm kwa akili zao fupi wanafikiri mbaya wao ni chadema na Dr. slaa wakati wanajimaliza wenyewe kwa madudu wanayofanya.
 
Baba V

Hawa kwenye facts huwa hawasogei. Uwezo ni kwenye kutunga maneno. Short living and trivial issues. Zikija facts wanakimbiza mbawa zao mithili ya Kunguru mwoga.

Sasa unaweza kuona, kwa nini akina Hyness Kiwia na Salvatory Machemli, wabunge wale walipigwa na kushambuliwa kwa mapanga na mashoka mbele ya polisi wenye silaha ambao hawakunyanyua hata mkono achilia risasi, kuwazuia wale vijana, ambao walikuwa wameandaliwa kwa ajili ya kuua kabisa!

Bila shaka unaweza pia kuunganisha dots na kuelewa kwa nini wauaji wa Msafiri Mbwambo, kiongozi wa CHADEMA aliyeuwawa kwa kuchinjwa, walivyokimbia mahakamani, wakiwa na pingu, mbele ya polisi wenye silaha, wakamnyang'anya askari silaha, wakaruka uzio, kisha wakaiacha bunduki, hadi leo hawajawahi kupatikana!

Kumbe kuna somo la 'mahusiano'! Aisee, this is deadly.


Terrorist Organization Profile:
Red Brigades
Mothertongue Name: Brigate Rosse (BR)
Aliases: Armed Communist Combatants, Italian Red Brigade, Red Regiments
Bases of Operation: n/a
Date Formed: 1969
Strength: Group is inactive
Classifications: Communist/Socialist
Financial Sources: Unknown
Founding Philosophy: The Red Brigades were founded on rigidly Marxist-Leninist principles. This radical leftist group advocated violence in the pursuit of class warfare. Concentrated in Italy, the Red Brigades targeted businessmen and politicians and were a notable terrorist threat in Italy during the 1970s and early 1980s. Due to developments during its existence, the Red Brigades took on some qualities of anarchist groups while still propagating its especially virulent and violent Communist philosophy. In the end, the Red Brigades' increasingly brutal attacks eroded the support of those sympathetic with the group's Communist ideals.
Current Goals: In April 1984, four of the Red Brigades' key leaders wrote a communique from their jail cells. In the open letter, the leaders proclaimed further armed combat as futile. The Red Brigades essentially ceased to exist with this letter. In their words, "The international conditions that made this struggle possible no longer exist." (Xavier Raufer, "The Red Brigades: Farewell to Arms," Studies in Conflict and Terrorism, 1993, Vol.16)
However, the legacy of the Red Brigades continues to this day. Following the release of this letter, two splinter groups broke off from the Red Brigades: the New Red Brigades/Communist Combatant Party (BR/PCC) and the Red Brigades/Union of Combatant Communists (BR/UCC). The BR/PCC specifically has chosen to continue in the ideological and violent path of the Red Brigades.
 
Kweli CCM ilishakufa siku nyingi, hakuna hoja ni kurudiarudia tu kila kitu.
 
Kwa muda mrefu sasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekuwa kikitoa madai mazito dhidi ya CCM kutumia kikundi cha ulinzi na usalama kiitwacho Green Guard, kufanya vitendo vya siasa chafu, ikiwemo wizi wa kura, kupiga wapinzani wao (hususan CHADEMA), kufanya fujo kwenye mikutano ya hadhara, kuteka, kutesa na hata kuua wafuasi, wapenzi, mashabiki, wanachama na viongozi wa CHADEMA, katika maeneo mbalimbali nchini.

Katika tuhuma hizo, CHADEMA mara kadhaa, kimewahi kutoa ushahidi na kusema kiko tayari kuutoa ushahidi zaidi sehemu salama kwamba; vyombo vya dola vimekuwa vikihusika kutoa mafunzo ya kijeshi kwa Green Guard, kwenye makambi ya CCM kwa nia ya kudhuru wapinzani, walengwa wakuu wakiwa ni CHADEMA!

Hapa chini ni ushahidi mwingine. Utaona katika cheti hiki, wahitimu walipewa somo la 'mahusiano ya Green Guard na vyombo vya dola'. Mahusiano yapi? Hilo somo lilitolewa na nani?

Aidha, katika ushahidi huu, ambao ni mwendelezo wa ushahidi kibao (wanaosubiri polisi na msajili wa vyama kuchukua hatua?), utaona Mkuu wa Wilaya, ambaye kinadharia anadhaniwa kuwa kiongozi wa serikali, (kivitendo sivyo, hovyo kabisa), ndiye mlezi wa makambi ya vijana wa CCM ambao wanafundishwa mbinu mbalimbali, ikiwemo kutumia silaha na kuua.

Kwa hii katiba mbovu ya sasa tuliyonayo (shukrani kwa CHADEMA kuwa custodian wa mchakato unaoendelea wa kuandika katiba mpya), DC ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, wakuu wa vyombo vya dola katika eneo au wilaya husika, wakati mwingine (au mwingi?) wanafanya kazi kwa maelekezo yake na kuripoti kwake.

Kama ilivyosemwa hapo awali, huu ni mwendelezo wa ushahidi. Kuna vyeti vimeshawekwa hapa, kuna kitabu kiliwekwa hapa, kuna picha kibao zimewekwa hapa; hadi sasa ushahidi wote ni undisputable kuwa CCM wanafundisha vijana wao mbinu za kijsehi, kwa ajili ya kuwashambulia wapinzani. Kile kitabu chao kimeeleza hivyo ukurasa wa 87.

Punde ushahidi wa mitaala inayotumika kufundisha makambi ya vijana wa CCM, mbinu za kuteka, kutesa na kuua, itawekwa hadharani.

Mathalani, kule Ulemo, Singida wakati wa uchaguzi wa Igunga, walifundishwa hata namna ya kuchoma sindano za virusi vya UKIMWI!

Pia ushahidi zaidi wa namna serikali inavyotumika ku-patron haya masuala ambayo yamechangia sana kuharibu mahusiano ya kisiasa, kijamii na kiuchumi katika nchi hii.

Kwa leo, tujadili haya....wakati tunajadili, tumuulize Amiri Jeshi Mkuu, mbona amekaa kimya kauli ya Dkt. Slaa, aliyomtaka awaambie Watanzania ile bunduki aina ya bastola, yenye uwezo wa kubeba risasi 8, namba J137, kutoka CHINA, iliingiaje nchini bila kibali, kisha ikatumika kufundisha vijana wa CCM kwenye makambi yao! Huu ni mfano mmoja tu.

Tangu kutolewa kwa kauli hiyo, mwaka jana, si Amiri Jeshi Mkuu, wala vyombo vya dola, vilivyotoa ufafanuzi wa jambo hilo la hatari. Silaha isiyokuwa na kibali, kuwa mikononi mwa vijana wa CCM. Makambini!

Wakati akina Hammy-D & co, wanakuja kila siku na maneno ya kutunga, wakirudia hoja zile zile za uongo na propaganda kwa kubadili maneno na herufi, watu wanaotaka mabadiliko na kuitakia mema nchi hii, kwa kuhakikisha CCMM inaondolewa madarakani, tuendelee kuzungumza ukweli wenye hoja zilizojaa facts kama namna hii;

Wasalaam
huu ulioweka hapa ni uzushi, upotoshaji na upindishaji wa mambo, soma hapa chini habari kamili ya ugaidi wa red brigade

On this day in 1974, Italian prosecutor Mario Sossi is kidnapped by the Red Brigades. It was the first time that the left-wing terrorist group had directly struck the Italian government, marking the beginning of tensions that lasted for 10 years.


The Red Brigades were founded by college student Renato Curcio in 1969 to battle "against the imperialist state of the multinationals." At first, the fledgling organization restricted its activities to small acts of vandalism and arson. However, in 1972, they abducted business executive Idalgo Macchiarini, releasing him a short time later with a sign that said, "Hit one to educate 100. Power to the armed populace." The Red Brigades kidnapped several other executives in the years following.


The kidnapping of Mario Sossi marked the first time that the Red Brigades demanded a ransom: They insisted on the release of eight imprisoned members. After fellow prosecutor Francesco Coco agreed to the demand, Sossi was released. However, Coco reneged on the deal and infuriated the Red Brigades.


Over the next several years, the terrorist group kidnapped 26 wealthy men and women to fund their criminal enterprises, extorting as much as $2 million for one abduction. They also got revenge on Coco, killing him in 1976. That same year, 49 members were prosecuted in Turin, prompting several retaliatory shootings against government officials.


In 1978, the ante was upped even further after some of the Red Brigades' leaders were arrested. Aldo Moro, a former Italian prime minister, was kidnapped on March 16, 1978, and five bodyguards were killed in the attack. For 55 days, the terrorists made various demands while taunting Moro's family with fake death announcements. On May 9, after their demands were refused, Moro's body was found in the trunk of a red car in the middle of Rome. He had been shot 11 times in the chest. The Red Brigades killed seven more politicians in the next week, terrorizing the whole country of Italy.


Sixty-three persons ended up being charged with involvement in Moro's murder. Prospero Gallinari, the actual shooter, and 22 others were convicted and sentenced to life imprisonment. The Red Brigades were finally crushed in the early 1980s when over 400 members were jailed.
 
Nyie hamna akili kabisa, afadhali hawa wanazo kidogo

Hakuna atakayeweza. Ameanza Lizaboni, kakimbia. Umeagizwa uje wewe, hautaweza kuharibu hii thread. Hapa hakuna propaganda na utungaji wa insha zisizo macho wala miguu. Hapa ni facts. Hoja juu ya hoja. Jibu maswali na hoja kama unaweza.

Argue, don't shout, alisema Nguli Issa Shivji bin Mariam, kwenye Intellectuals at the Hill.

Nawe na wenzako, tunakusihi, Gentlemen don't shout, sharpen your arguments.
 
Red Bridgade ni kikundi ya watesaji, watekaji, wang'oa kucha na meno, wamwagia tindikali na watembea na sumu
Leta ushahidi acha kutapika ujinga hapa. we don't need to investigate on what kind of useless person u are. just through your rubbish arguments is enough!!!!
 
haya mambo yamekuwa mambo, mie mtazamaji

Naibili

Usiwe kama yule mchungaji wakati wa utawala wa Adolf Hitler. Huu ni mtego wa panya, alisema Abunuwas, hatimaye huingia waliomo na wasiokuwemo.

Uonevu ni uonevu tu. uvunjaji wa haki ni uvunjaji wa haki. Uonevu mahali fulani ni uonevu popote, uonevu kwa mtu fulani ni uonevu kwa yeyote, hiyo ndiyo principle ya kupambana na hawa majangili wa machozi, jasho na damu za Watanzania.

We say no more torture to our fellow country men and women. Hujasikia stori ya huko Serengeti, ambako chinimya usimamizi wa kiongozi wa serikali, mbunge, askari wa magereza, Green Guard, waliteka na kutesa watu, wengine wakabakwa, hadi wakawekewa chupa sehemu za siri, kisha wewe unasema wewe mtasamaji!

Unafikiri wakimaliza wanaowawinda leo, watakwenda kwa nani kama si kukugeukia wewe mtazamaji? Be part of the changes you want.
 
Naona wamemtuma Lizaboni aje kujibu tuhuma

Asikutishe huyo ni FIDO DIDO kwa hoja.....mwepesi like a cotton ball

tumblr_m5xm87rLP61ql9ubno1_500.jpg
 
Kweli CCM ilishakufa siku nyingi, hakuna hoja ni kurudiarudia tu kila kitu.

Wameshaanza hata kuiga na kuchukua sera za CHADEMA, tatizo hawawezi kufanya ipasavyo, kwa sababu si initiatives zao. Copy and paste. Almost equal to pragialism...wapi na wapi, kwenye utekelezaji.

Waondoke, wawaachie wenye mawazo yao. Wamebaki na akili za kuendesha makambi. Uwezo umeishia hapo. They can't stretch their brain a little bit more.
 
Hakuna atakayeweza. Ameanza Lizaboni, kakimbia. Umeagizwa uje wewe, hautaweza kuharibu hii thread. Hapa hakuna propaganda na utungaji wa insha zisizo macho wala miguu. Hapa ni facts. Hoja juu ya hoja. Jibu maswali na hoja kama unaweza.

Argue, don't shout, alisema Nguli Issa Shivji bin Mariam, kwenye Intellectuals at the Hill.

Nawe na wenzako, tunakusihi, Gentlemen don't shout, sharpen your arguments.

Mkuu Makene tangia huyo binti afukuzwe Chadema amekuwa kama mtu aliyechanganyikiwa na ndio maana ana ID zaidi ya 15 hapa JF
 
hao vijana na wazee wa lumumba wanachoamini ukweli unatolewa na mwana ccm peekee katika nchi hii akisema mwingine watakuita mchochezi na unatakakuvunja amani ya nchi hii.lakini amani ya nchi hii itavunjwa na hao walio na green guard
 
huu ulioweka hapa ni uzushi, upotoshaji na upindishaji wa mambo, soma hapa chini habari kamili ya ugaidi wa red brigade

On this day in 1974, Italian prosecutor Mario Sossi is kidnapped by the Red Brigades. It was the first time that the left-wing terrorist group had directly struck the Italian government, marking the beginning of tensions that lasted for 10 years.


The Red Brigades were founded by college student Renato Curcio in 1969 to battle "against the imperialist state of the multinationals." At first, the fledgling organization restricted its activities to small acts of vandalism and arson. However, in 1972, they abducted business executive Idalgo Macchiarini, releasing him a short time later with a sign that said, "Hit one to educate 100. Power to the armed populace." The Red Brigades kidnapped several other executives in the years following.


The kidnapping of Mario Sossi marked the first time that the Red Brigades demanded a ransom: They insisted on the release of eight imprisoned members. After fellow prosecutor Francesco Coco agreed to the demand, Sossi was released. However, Coco reneged on the deal and infuriated the Red Brigades.


Over the next several years, the terrorist group kidnapped 26 wealthy men and women to fund their criminal enterprises, extorting as much as $2 million for one abduction. They also got revenge on Coco, killing him in 1976. That same year, 49 members were prosecuted in Turin, prompting several retaliatory shootings against government officials.


In 1978, the ante was upped even further after some of the Red Brigades' leaders were arrested. Aldo Moro, a former Italian prime minister, was kidnapped on March 16, 1978, and five bodyguards were killed in the attack. For 55 days, the terrorists made various demands while taunting Moro's family with fake death announcements. On May 9, after their demands were refused, Moro's body was found in the trunk of a red car in the middle of Rome. He had been shot 11 times in the chest. The Red Brigades killed seven more politicians in the next week, terrorizing the whole country of Italy.


Sixty-three persons ended up being charged with involvement in Moro's murder. Prospero Gallinari, the actual shooter, and 22 others were convicted and sentenced to life imprisonment. The Red Brigades were finally crushed in the early 1980s when over 400 members were jailed.

Utahangaika sana binti lakini hutaweza kuvuruga hii thread.
 
Back
Top Bottom