mtoto wa mfugaj
Senior Member
- Jul 18, 2011
- 136
- 29
Is this statement serious??????
kuunda tume ni jambo moja na kutekeleza mapendekezo ya tume ni swala jingine,tume kibao zimeundwa lakini hakuna jipya linaloleta suluhu ya tatizo
Is this statement serious??????
<br />Kwa vyovyote vile Msemakweli amefanya sehemu yake kama Mzalendo (au hata kama anatumiwa). Yeye ametoa ushahidi kuonesha hizo pesa zilipokwenda (nje ya nchi), sasa akisema zilienda CCM wakati vielelezo alivyonavyo vinaonesha zilipelekwa nje si atakuwa anajichanganya? Sasa kama pesa hizo somehow zilizunguka tena na kurudi CCM au kina Manji walitoa pesa kutoka accounts nyingine na kuzipeleka CCM, hilo lingekuwa kazi vyombo vyetu kuchunguza kama wangekuwa na chembe ya uzalendo.<br />
<br />
Lakini kwa kusema ukweli kabisa hakuna nia ya dhati kwa DPP, DCI na wengine kushughulika na suala hili (they jusst reactive na kusaidia mafisadi kuzima mto kila unapotaka kuwaka). Hivi vielelezo anavyotoa Msemakweli na vingine vingi wanaweza kuvipata wao wenyewe kama wangetaka kufanya kazi kizalendo. Kwa ujumla hii yote hapa ni senema tu!
Sasa wewe unaanzisha thread yako au?Maana mtoa ushahidi anamwondoa kabisa jk kwa kusema pesa za kagoda hazikutumika kumwingiza jk ikulu,sasa wewe hayo ya jk kuhusika umeyapata wapi?Msemakweli amedadafua yote tena kwa ushahidi mzito.Labda hapo kwenye shaka ya hiyo task force kutotenda yale yanayopaswa wayatende nakubaliana nawe<br /><br />
<br /><br />
wasiwasi wangu ni kwamba tume iliyoundwa/itakayoundwa haitakuwa huru kusema ukweli. Issue ya kagoda Jk hakosekani, kwani ndiyo pesa zilizotumika kumwingiza JK ikulu. Vilevile nina wasiwasi wakurugenzi waliounda hii tume walishakwapua sehemu ya pesa hizo.
Mkuu nakubaliana na wewe kwamba tunachezeshewa cinema baada ya cinema. Ila watambue cinema zao haziiuziki kwani hazina mashiko.hakuna kitu hapo maana jambo kama hilo lilishafanyika wakafunga majalada kwamba hakuna kitu zaidi ya kuibuka na majibu kwamba ni unknown sasa vp tena? ni maigizo tu
swali la tatu ni la msingi, na si ajabu hii tume ikawa inalipwa na R.A pamoja na Manji huku ikiwajibika kwa Rais (patata hapo!!!!!!!!!)Jamani kutokana na wingi wa hizi skendo za serikali yetu kuna wakati nachangayikiwa kujua ipi inahusiana na wapi. Nisaidieni kwa hili tafadhali.
1.Hivi EPA na Kagoda si ndugu hawa!!!
2. Ile tume ya IGP, DCI, PCCB aliyounda Luhanjo ishughulikie EPA, iliwahi kutoa taarifa mahali popote duniani
3. Hii tume iliyoundwa baada ya Msemakweli kusema, ina nguvu gani kisheria na inawajibika kwa nani
TAKUKURU ni chaka la majangili wa nchi hii, na sioni haja ya kuwa na hiki chombo kwani kimeundwa na ma-ngumbaruJe TAKUKURU walikua hawana vithibitisho alivyowasilisha bwana msemakweli siku zote? na kama walikua navyo je walikua wanasubiri nini kuchukua hatua?....Huu ni usanii tu.