AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
mimi nashauri watu kabla ya kukutana
muende facebook kwanza
muonane sura zenu,majina yenu kamili
utazame na friends list yake usije kuona
anamjua mkeo,mumeo.mama yako,boss wako...
ukiwa clear ndo muonane
Tatizo la Face book nalo ni hili.... Yule anaeitwa Andongolile Papakua anabadili jina kuenda Andy Papak ili li sound better.... Picha anaweka ambayo yupo ten years years younger or imefanyiwa photoshop 90% change of the real person.... lol