nauza laptop, nataka kulipa tuition fees.
160gb, ram 1gb, duo processor, wireless- wifi, dvdwrter. webcam. (DELL)
Whats up gud pipo,
am new hia japo nimekuwa nikisoma posts zenu sana , mawazo yenu yamenikuza na kuipanua akikili yangu.plz naombeni ushirikiano wenu.
Baada ya utambulisho,ninaomba msaada wenu wa mawazo. Nahitaji used laptop ya bei nafuu. Ikiwa imported itakua bomba sana.
Shukrani.
Chipikizi kila nikiiona hii picha yako daima huwa nafurahi sana