USB Flash: WENYE UZOEFU NA HILI TATIZO NISAIDIENI

BASHADA

JF-Expert Member
Jul 13, 2011
513
148
Jamani, nina usb flash sandisk 8gb. Nilinunua muda si mrefu. Tatizo lake kila nikiingiza kwenye laptop wakati inafunguka inachukua muda, panatokea green colour kwenye bar from left to right. Mpaka rangi ile ipite ndo flash inakuwa tayari, ila hapo hapo inabadilika kuwa fat32, (not recognised). Nikifungua inakuwa haitambuliki. Nikitoa na kuingiza tena the same thing happen.
Nifanyeje?
 
Jamani, nina usb flash sandisk 8gb. Nilinunua muda si mrefu. Tatizo lake kila nikiingiza kwenye laptop wakati inafunguka inachukua muda, panatokea green colour kwenye bar from left to right. Mpaka rangi ile ipite ndo flash inakuwa tayari, ila hapo hapo inabadilika kuwa fat32, (not recognised). Nikifungua inakuwa haitambuliki. Nikitoa na kuingiza tena the same thing happen.
Nifanyeje?
Mkuu,
irejeshe pale uliponunulia wakupatie nyingine.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom