BASHADA
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 513
- 148
Jamani, nina usb flash sandisk 8gb. Nilinunua muda si mrefu. Tatizo lake kila nikiingiza kwenye laptop wakati inafunguka inachukua muda, panatokea green colour kwenye bar from left to right. Mpaka rangi ile ipite ndo flash inakuwa tayari, ila hapo hapo inabadilika kuwa fat32, (not recognised). Nikifungua inakuwa haitambuliki. Nikitoa na kuingiza tena the same thing happen.
Nifanyeje?
Nifanyeje?