William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Usanii anaokujanao Mnyika juu ya kukusanya maoni juu ya ongezeko la umeme ni mkubwa sana na unalengo la kutupumbaza kama maswala ya kuundwa tume kilasiku na serikali.
Usikubari mtu akakufundisha jinsi ya kuanza Kufikiri. Kisha ukakariri. Muulize Mnyika waliitaji sahihi za watanzania Kugomea hotuba ya Raisi Bungeni ili kushinikiza katiba mpya? Walipata sahihi za watanzania wangapi kugomea vikao vya bunge kushinikiza maswala mbalimbali ya katiba. Ukitafakari msisitize aache usanii.
Swala la tanesco hoja sio bei ya umeme tu. Ila uendeshwaji unaopelekea shirika hilo kushindwa kujiendesha na kuelekea kufa, Migao mikubwa ya umeme na Umeme kukatika katika muda mrefu.
Ni waz kuwa
1. Makampuni yanayoiuzia tanesco umeme kwa bei ya juu sana yana mikono ya maswaiba wa viongozi Kama Lowasa, Rostamu na huwaingizia Mabilioni ya fedha wanazotumia kuutafuta uraisi.
2. Makampuni hayo pia yanachangia zaidi ya 80% ya fedha za Mbowe nje ya Nchi ili Mbowe na Chadema wasije na hoja na Vurugu dhidi ya uendeshwaji wa shirika hili. CHADEMA ina uwezo kabisa wa kufanya mashinikizo nje na ndani ya bunge hadi mfumo mzima wa uendeshwaji tanesco utakapobadilishwa
3. Mnyika na Chadema inajua kuwa Miundombinu ya Tanesco ni Michakavu sana zaidi ya 60% ya nguzo za umeme za mbao zimepita muda wake wa kubadilishwa na zaidi ya 35% ya nguzo hizo zimeoza kabisa na hiyo inatokana na asilimia kupwa ya mapato ya tanesco huishia kulipa garama za uzalishaji umeme.
4. Kuna upotoshwaji mkubwa ulifanywa na waujumu wa miradi ya Tanesco juu ya kuzuia uanziswaji wa miladi wa miradi mikubwa ya umeme wa maji na isiyo na garama kubwa za uendeshaji kama Mradi mkubwa wa Bwawa la Kihansi na wa Bonde la Mto Maragarasi ambayo yote visingizio ni kulinda spishi za Vyura ambao wanapatikana maeneo husika ili wasitoweke duniani kutokana na miradi hiyo huku ukweli halisi dili za kuagiza mafuta ya mitambo ya umeme kwa mkoa wa Kigoma na Iptl ingeyeyuka.
Upotoshwaji mkubwa hapa ni hasa juu ya öngezeko la bei zenyewe.
Tanesco na Mnyika mwenyewe wanasema watumiaji wadogo hulipia tsh 100 kwa unit kwa uniti 0-75 za awali hapa si kweli kabisa.
Kuna usanii mkubwa hapa. Gharama hizo zinawahusu watumiaji wenye mita za zamani tu na hizi hazilalamikiwi na huwa zinatajwa haraka kuonesha garama za umeme sio kubwa.
Ukweli ni kuwa ukiwa na Mita ya Luku tu ata ukiwa mtumiaji mdogo kiasi gani wa nyumbani hutalipia tsh 365 +vat kwa unit kuanzia unity ya kwanza + tsh 7,000 kila mwezi kama service charge.
Kwa wanaounganishwa na umeme sasa vijijini pia wote huwekewa Luku na hulipia Garama hizi(365 per unity na 7000 ya service charge kuanzia unity ya kwanza).
Na Watumiaji wengine wenye mita za kawaida zaidi ya asilimia 80 ziling'olewa na kuwekewa Luku na hulipa Garama za juu kabisa za umeme(hizo juu) ambao wengiwao matumizi yao ni kati ya uniti 10 hadi 70 kwa mwezi.
Hivyo Hawa ambao matumizi yao ni ya chini kabisa ndio wenye kiwango cha juu kabisa na pia kiwango hiki cha Juu kuliko vyote za bei ya umeme huwagusa watengeneza barafu, karakana mbalimbali mashine za kusaga na wajisiliamali mbalimbali.
Swali hapa vipi watumiaji wadogo kabisa waliofungiwa Luku ambao ni zaidi ya 90 asilimia ya watumiaji wadogo walipie kiwango cha Juu kabisa cha umeme ambao ni tsh 306bila vati au 365+vat+ewura huku wakubwa kabisa wanaoutumia kwa kuzalishia wakilipia tsh 159 kwa unity?
- Hizi gharama za Service charge tsh 7000kwa mwezi kwa watumiaji wadogo zina uhalali gani? Mbona kwa watumiaji wa mita za zamani wadogo hazipo na ndio zinagarama kubwa za uendeshaji kama wasoma Mita, zinachakachulika kirahisi na ni za malipo ya baada?
- Huu usanii wa kuwaita wenye matumizi madogo kuwa ni watumiaji wakubwa wa nyumbani mara baada ya kuunganishiwa mita za Luku umeanza Lini?
Mnyika na Tanesco acheni ufafanuzi wenye upotoshaji juu ya watumiaji kwa kuweka makundi mara T1, D1, Sijui T2 ni kutaka kutuchanganya na kutuona wote hatujui lolote linaloendelea.
Mlicharuka juu ya katiba swala ambalo ni indirect kwa wananchi mkaweza. Vipi swala hili direct kwa maisha ya watu. Vipi tukae kimya sababu ya mtu mmoja kula Mbowe?
Usikubari mtu akakufundisha jinsi ya kuanza Kufikiri. Kisha ukakariri. Muulize Mnyika waliitaji sahihi za watanzania Kugomea hotuba ya Raisi Bungeni ili kushinikiza katiba mpya? Walipata sahihi za watanzania wangapi kugomea vikao vya bunge kushinikiza maswala mbalimbali ya katiba. Ukitafakari msisitize aache usanii.
Swala la tanesco hoja sio bei ya umeme tu. Ila uendeshwaji unaopelekea shirika hilo kushindwa kujiendesha na kuelekea kufa, Migao mikubwa ya umeme na Umeme kukatika katika muda mrefu.
Ni waz kuwa
1. Makampuni yanayoiuzia tanesco umeme kwa bei ya juu sana yana mikono ya maswaiba wa viongozi Kama Lowasa, Rostamu na huwaingizia Mabilioni ya fedha wanazotumia kuutafuta uraisi.
2. Makampuni hayo pia yanachangia zaidi ya 80% ya fedha za Mbowe nje ya Nchi ili Mbowe na Chadema wasije na hoja na Vurugu dhidi ya uendeshwaji wa shirika hili. CHADEMA ina uwezo kabisa wa kufanya mashinikizo nje na ndani ya bunge hadi mfumo mzima wa uendeshwaji tanesco utakapobadilishwa
3. Mnyika na Chadema inajua kuwa Miundombinu ya Tanesco ni Michakavu sana zaidi ya 60% ya nguzo za umeme za mbao zimepita muda wake wa kubadilishwa na zaidi ya 35% ya nguzo hizo zimeoza kabisa na hiyo inatokana na asilimia kupwa ya mapato ya tanesco huishia kulipa garama za uzalishaji umeme.
4. Kuna upotoshwaji mkubwa ulifanywa na waujumu wa miradi ya Tanesco juu ya kuzuia uanziswaji wa miladi wa miradi mikubwa ya umeme wa maji na isiyo na garama kubwa za uendeshaji kama Mradi mkubwa wa Bwawa la Kihansi na wa Bonde la Mto Maragarasi ambayo yote visingizio ni kulinda spishi za Vyura ambao wanapatikana maeneo husika ili wasitoweke duniani kutokana na miradi hiyo huku ukweli halisi dili za kuagiza mafuta ya mitambo ya umeme kwa mkoa wa Kigoma na Iptl ingeyeyuka.
Upotoshwaji mkubwa hapa ni hasa juu ya öngezeko la bei zenyewe.
Tanesco na Mnyika mwenyewe wanasema watumiaji wadogo hulipia tsh 100 kwa unit kwa uniti 0-75 za awali hapa si kweli kabisa.
Kuna usanii mkubwa hapa. Gharama hizo zinawahusu watumiaji wenye mita za zamani tu na hizi hazilalamikiwi na huwa zinatajwa haraka kuonesha garama za umeme sio kubwa.
Ukweli ni kuwa ukiwa na Mita ya Luku tu ata ukiwa mtumiaji mdogo kiasi gani wa nyumbani hutalipia tsh 365 +vat kwa unit kuanzia unity ya kwanza + tsh 7,000 kila mwezi kama service charge.
Kwa wanaounganishwa na umeme sasa vijijini pia wote huwekewa Luku na hulipia Garama hizi(365 per unity na 7000 ya service charge kuanzia unity ya kwanza).
Na Watumiaji wengine wenye mita za kawaida zaidi ya asilimia 80 ziling'olewa na kuwekewa Luku na hulipa Garama za juu kabisa za umeme(hizo juu) ambao wengiwao matumizi yao ni kati ya uniti 10 hadi 70 kwa mwezi.
Hivyo Hawa ambao matumizi yao ni ya chini kabisa ndio wenye kiwango cha juu kabisa na pia kiwango hiki cha Juu kuliko vyote za bei ya umeme huwagusa watengeneza barafu, karakana mbalimbali mashine za kusaga na wajisiliamali mbalimbali.
Swali hapa vipi watumiaji wadogo kabisa waliofungiwa Luku ambao ni zaidi ya 90 asilimia ya watumiaji wadogo walipie kiwango cha Juu kabisa cha umeme ambao ni tsh 306bila vati au 365+vat+ewura huku wakubwa kabisa wanaoutumia kwa kuzalishia wakilipia tsh 159 kwa unity?
- Hizi gharama za Service charge tsh 7000kwa mwezi kwa watumiaji wadogo zina uhalali gani? Mbona kwa watumiaji wa mita za zamani wadogo hazipo na ndio zinagarama kubwa za uendeshaji kama wasoma Mita, zinachakachulika kirahisi na ni za malipo ya baada?
- Huu usanii wa kuwaita wenye matumizi madogo kuwa ni watumiaji wakubwa wa nyumbani mara baada ya kuunganishiwa mita za Luku umeanza Lini?
Mnyika na Tanesco acheni ufafanuzi wenye upotoshaji juu ya watumiaji kwa kuweka makundi mara T1, D1, Sijui T2 ni kutaka kutuchanganya na kutuona wote hatujui lolote linaloendelea.
Mlicharuka juu ya katiba swala ambalo ni indirect kwa wananchi mkaweza. Vipi swala hili direct kwa maisha ya watu. Vipi tukae kimya sababu ya mtu mmoja kula Mbowe?