ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,019
- 7,223
Gazeti la Tanzania Daima siku hizi habari zake ziko kama Annur!!!
Hivi hii habari mhariri kaiona kweli na kuipa go ahead ya kuchapishwa in this version?
Nani asiyejua kuwa karate ni sport kama jinsi ilivyo boxing, wrestlling, football, hockey na michezo mingine.
Katika nchi zinazoendeshwa kisheria, kila jambo unalopendekeza LAZIMA uangalie legal basis yake. Je, tuna sheria inayosema watu wa dini fulani wasijifunze michezo fulani?
Hivi hii habari mhariri kaiona kweli na kuipa go ahead ya kuchapishwa in this version?
Nani asiyejua kuwa karate ni sport kama jinsi ilivyo boxing, wrestlling, football, hockey na michezo mingine.
Katika nchi zinazoendeshwa kisheria, kila jambo unalopendekeza LAZIMA uangalie legal basis yake. Je, tuna sheria inayosema watu wa dini fulani wasijifunze michezo fulani?