mkuu mi naona tusubili kidogo kwa kuwa wanachama wanazidi kujitokeza hivyo tuendelee kwanza na usajili baada ya usajili tutapendekeza tume ya uchaguzi kwaajili ya kuongoza uchaguzi ili kupata uongoziMwenyekiti ungoza mchakato wa kupata viongozi wa muda.
Nimekupata mkuu, ushauri wako ni mzuri na ninaufanyia kaziLUTAYEGA utakuwa umelala, kuna ujumbe wako kwenye PM. Jaribu kuufuatilia kama wazo litakuwa zuri basi lifanyie kazi. Me naangusha, I have to work up early in morning kusoma, next monday kuna UE. Gd night to all of you.
ifuatayo ni orodha ya wanachama ambao wameshajitokeza mpaka muda huu. usajili bado unaendelea .Mwana fandeyM
ifuatayo ni orodha ya wanachama ambao wameshajitokeza mpaka muda huu. usajili bado unaendelea
1.Lutayega
2.Godwinnko
3.Eliceco
4.Hans79 ( ELIAS KOLIWAKA) email: j.hans79@yahoo.com
5. Ukweli mtupu
6. TUMBIRI,(ametangaza na nia ya kugombea uenyekiti)
7.Kuku dume
8.mungi
9. Kalyovatipi
10. only83(amependekeza jina la CHADEMA tawi la jamii forum)
11. 1800
12. Havizya
13. Kabembe
14. Bongolala-amependekeza jina la(J Bongolala-JF branch ) anagombea nafasi ya accountant
15. STK ONE, (natangaza nia ya kugombea U - KATIBU MWENEZI)
16. Salma2015
17. Atabase Agaya.
18. Tume ya katiba(anatangaza na nia ya kugombea nafasi ya mwenyekiti wa tawi
19.ibange
20.mahoza
21.tume ya katiba(katangaza kugombea uenyekiti wa tawi)
22.kajunju