Source: vijiwe vya kahawaAbood ana mabasi zaidi ya 300 unashangaaje hayo20
Kile kiwanda ndio basi tenaAsee wakuu kumbe kuna watu wana jax sana hii nchi. Nimeona huko Twitter kuwa huu ni usajili wa mabus 20 mapya ya Abood.
View attachment 1972491
Tutafute hela wakuu.
Humjui abood wewe,utakuwa umezaliwa juzi,kila nusu saa kuna gari inatoka msamvu kuja dar na dar kwenda moro,bado route za mikoa bado yanayokodishwa,reserve na yaliyo serviceSource: vijiwe vya kahawa
Huwezi kuingiza yote road kwa siku mojaNa yote yanatembea rodi mkuu?
Machache yapo service ndefuKwanini yasiingie mkuu?
Anyways labda niulize, yote yapo roadworthy?
Abood ana mabasi zaidi ya 300 unashangaaje hayo20
Mimi sijui idadi yake lakini sitasahau tukio la almost 20 years ago!!!Humjui abood wewe,utakuwa umezaliwa juzi,kila nusu saa kuna gari inatoka msamvu kuja dar na dar kwenda moro,bado route za mikoa bado yanayokodishwa,reserve na yaliyo service
Mimi ninadhani hicho ni kiwango cha kawaida tu kwa kampuni kama Abood. Hata alipoingiza hizi zilizopo sasa ni hivyohivyo tu. Ninakumbuka ilikuwa sherehe pale Msamvu, misele ya kufa mtu roundabout wakipokewa na bodaboda.Asee wakuu kumbe kuna watu wana jax sana hii nchi. Nimeona huko Twitter kuwa huu ni usajili wa mabus 20 mapya ya Abood.
View attachment 1972491
Tutafute hela wakuu.
Vya kahawa nafuu. Hivi ni vijiwe vya alkasusuSource: vijiwe vya kahawa
Huyu jamaa mwenye bus za superfeo na selous jumla ana gari ngapi?Abood ana mabasi zaidi ya 300 unashangaaje hayo20