Heri yako wewe uliyewahi, wenzio tmesotaje stesheni? Na hapa tupo kwenye daladala.
mwakyembe ni jembe la chadema hukuona alivyopokelewa kule kyela...kama ni kikwete kwann asingefanya hivo kitambo?????ngoja waje chadema uone matusi yao mana rohooo inawauma hapo noma ...mana wanawaza muda wote jk ashindwe kutimiza ahadi
ngoja waje chadema uone matusi yao mana rohooo inawauma hapo noma ...mana wanawaza muda wote jk ashindwe kutimiza ahadi
Leo kwa mara ya kwanza nimepanda City train na kwa sasa niko nyumbani nimepumzika na familia yangu mara baada ya kumaliza kazi saa 9:30, kweli usafiri wa Train ni raha kwani ingekuwa dala dala ningekuwa bado na sota kwenye foleni. Hongera sana Dr Mwakyembe kwa kusimamia mawazo na maamzi yako.
Hebu tingisha kichwa chako je unasikia kuna nn? Kuna k2 kinatingishia tingishika au usikii chochote. Ukisikia k2 kinatingishika jua kumejaa maji ukiona kimya ujue kuna hewa 2
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mwakyembe amedhubutu na ameweza. Hao mawaziri wengine wanafanya nini? Chamsingi tutoe maoni ya namna ya kuboresha huduma hii ya usafiri wa treni jijini DSM.
Nakumbuka walishaongea kwamba kutakuwepo botiNaona Wivu sisi wa Bunju Boko na Tegeta tunatamani tungepata na sisi kwa sababu Wenye Daladala za Route hii jioni wanatupa shida sana.
wanakatisha Route na kutufungia milango Jioni.
Nakumbuka walishaongea kwamba kutakuwepo boti (ferries) kati ya posta na maeneo ya huko Tegeta sijui mkakati huo uliishiawapi.Naona Wivu sisi wa Bunju Boko na Tegeta tunatamani tungepata na sisi kwa sababu Wenye Daladala za Route hii jioni wanatupa shida sana.
wanakatisha Route na kutufungia milango Jioni.
Leo kwa mara ya kwanza nimepanda City train na kwa sasa niko nyumbani nimepumzika na familia yangu mara baada ya kumaliza kazi saa 9:30, kweli usafiri wa Train ni raha kwani ingekuwa dala dala ningekuwa bado na sota kwenye foleni. Hongera sana Dr Mwakyembe kwa kusimamia mawazo na maamzi yako.
Heri yako wewe uliyewahi, wenzio tmesotaje stesheni? Na hapa tupo kwenye daladala.
Mbezi Luis
Heri yako wewe uliyewahi, wenzio tmesotaje stesheni? Na hapa tupo kwenye daladala.
Hauwezi kudumu huu usafiri ndani ya miaka 2, i bet on my wife.......