Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,478
- 45,786
Nilishawahi kujibu hili, ni kwamba unapooga unajifuta mwili halafu unaanika juani ili ikauke, lakini kumbuka taulo inakuwa mbichi na vumbi linajaa kwenye taulo.
Unapojifutia tena ndio unaliona limechafuka.
Bora uanike ndani
Unapojifutia tena ndio unaliona limechafuka.
Bora uanike ndani