figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,492 54,895 Aug 6, 2011 #1 wakazi wa dar es salaam leo ni siku ya kujitolea kufanya usafi katika maeneo yanayokuzunguka.usikose.tunataka jiji letu liwe safi.mia
wakazi wa dar es salaam leo ni siku ya kujitolea kufanya usafi katika maeneo yanayokuzunguka.usikose.tunataka jiji letu liwe safi.mia
Mwita25 JF-Expert Member Apr 15, 2011 3,831 1,164 Aug 6, 2011 #2 asnte kwa taarifa, na mimi naongoza wanamtaa wenzangu huku Maneromango kusafisha mitaro ya maji machafu.
asnte kwa taarifa, na mimi naongoza wanamtaa wenzangu huku Maneromango kusafisha mitaro ya maji machafu.
tz1 JF-Expert Member Mar 19, 2011 2,121 534 Aug 6, 2011 #3 Tuanzishe pia siku ya kusafisha viongozi wa serikali