Badala ya Jumamosi siku ya usafi, serikali imeamua tufanye Jumatano ya tar. 24 January! Tuipe ushirikiano

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,869
Serikali ina mkono mrefu na maagizo yake hayawezi kupuuzwa na mtu awaye yote, hasa sisi wananchi wanyonge

Hatupaswi kupingana na serikali yetu kwenye hili hata kama litaleta ukakasi kwa kiasi gani... Yaani kufanya usafi siku ya kazi tena katikati ya wiki badala ya weekend kama ilivyozoeleka!

Tunachotakiwa kufanya sisi wananchi ni siku hiyo kuungana na serikali yetu kwenye hilo zoezi adhimu la kufanya usafi ndani ya jiji la Dar na vitongoji vyake vyote

Siku hiyo ya Jumatano ya tarehe 24 waajiriwa wapewe ruhusa maalum makazini kwao na kila mmoja avae kikazi zaidi huku akibeba kifaa chochote cha kufanyia usafi kama
Makofia
Vilemba
Natalia
Gloves
Mifagio
Vizoleo
Matoroli
Majembe
Mafyekeo
Reki
Gumboots nk

Itapendeza kama siku hiyo majeshi yetu yote yakiungana nasi kwenye zoezi hili adhimu na la kipekee sana
Tafadhali usikose kuhudhuria na unaweza pia kutafuta eneo la kusafisha ukiona ulipo ni pasafi

Vyombo vya usafiri navyo ni vema siku hiyo vikatoa huduma kwa kafanya usafi watakaoamua kwenda maeneo ya mbali
picha1.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ina mkono mrefu na maagizo yake hayawezi kupuuzwa na mtu awaye yote, hasa sisi wananchi wanyonge

Hatupaswi kupingana na serikali yetu kwenye hili hata kama litaleta ukakasi kwa kiasi gani... Yaani kufanya usafi siku ya kazi tena katikati ya wiki badala ya weekend kama ilivyozoeleka!

Tunachotakiwa kufanya sisi wananchi ni siku hiyo kuungana na serikali yetu kwenye hilo zoezi adhimu la kufanya usafi ndani ya jiji la Dar na vitongoji vyake vyote
Siku hiyo ya Jumatano ya tarehe 24 waajiriwa wapewe ruhusa maalum makazini kwao na kila mmoja avae kikazi zaidi huku akibeba kifaa chochote cha kufanyia usafi kama
Makofia
Vilemba
Natalia
Gloves
Mifagio
Vizoleo
Matoroli
Majembe
Mafyekeo
Reki
Gumboots nk

Itapendeza kama siku hiyo majeshi yetu yote yakiungana nasi kwenye zoezi hili adhimu na la kipekee sana
Tafadhali usikose kuhudhuria na unaweza pia kutafuta eneo la kusafisha ukiona ulipo ni pasafi

Vyombo vya usafiri navyo ni vema siku hiyo vikatoa huduma kwa kafanya usafi watakaoamua kwenda maeneo ya mbali View attachment 2879108

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ulipoteaga hapa kati nikataka nikuanzishie uzi.
 
Dumas the terrible umelike pia wewe umepotea sana.
Nipo mkuu nilikua somewhere nimejichimbia long time,nikipanga mikakati ya Kumpinga Shetani na kazi zake maana yeye ndio aliyempandikiza Roho ya woga Babu wa Babu yangu asipambane na kuacha utajiri kama wa Lord Rothschild au Rockaffera,
Leo nisingekua napigizana kelele na Serekale ya Chama Cha Mambuzi kwa ajili ya kusababisha mfumuko wa bei kwenye kilo ya Sukari
Eboo!
 
Serikali ina mkono mrefu na maagizo yake hayawezi kupuuzwa na mtu awaye yote, hasa sisi wananchi wanyonge

Hatupaswi kupingana na serikali yetu kwenye hili hata kama litaleta ukakasi kwa kiasi gani... Yaani kufanya usafi siku ya kazi tena katikati ya wiki badala ya weekend kama ilivyozoeleka!

Tunachotakiwa kufanya sisi wananchi ni siku hiyo kuungana na serikali yetu kwenye hilo zoezi adhimu la kufanya usafi ndani ya jiji la Dar na vitongoji vyake vyote

Siku hiyo ya Jumatano ya tarehe 24 waajiriwa wapewe ruhusa maalum makazini kwao na kila mmoja avae kikazi zaidi huku akibeba kifaa chochote cha kufanyia usafi kama
Makofia
Vilemba
Natalia
Gloves
Mifagio
Vizoleo
Matoroli
Majembe
Mafyekeo
Reki
Gumboots nk

Itapendeza kama siku hiyo majeshi yetu yote yakiungana nasi kwenye zoezi hili adhimu na la kipekee sana
Tafadhali usikose kuhudhuria na unaweza pia kutafuta eneo la kusafisha ukiona ulipo ni pasafi

Vyombo vya usafiri navyo ni vema siku hiyo vikatoa huduma kwa kafanya usafi watakaoamua kwenda maeneo ya mbali View attachment 2879108

Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana Jr wewe ni mkuu humu, inajukilikana tar 24 jan ni siku ya kazi, aliyekuagiza uache kazi ukafanye usafi nani? Serikali haijatangaza wananchi waache kazi wakafanye usafi, Bali imeagiza vyombo vya ulinzi siyo raia.
Sasa ninyi Chadema mnaagiza raia waache kazi wakaandamane siku ya kazi huoni ni ujinga huo?
Raia gani akiambiwa na serikali aache kazi akafanye usafi siku ya kazi atakubali?
Chadema ndiyo wa hovyo kutaka raia tuache kazi tukaandamane, tangazeni maandamano siku ya mapumziko.
 
Ni hatari sana wanajeshi kuonekana barabarani bila sababu za msingi zinazohusiana na majukumu yao ya ulinzi wa Taifa!
Mkiwazoeza kuranda randa barabani msijeshangaa wakiwageuka na kuwafunga pingu nyie watawala.
 
Mshana Jr wewe ni mkuu humu, inajukilikana tar 24 jan ni siku ya kazi, aliyekuagiza uache kazi ukafanye usafi nani? Serikali haijatangaza wananchi waache kazi wakafanye usafi, Bali imeagiza vyombo vya ulinzi siyo raia.
Sasa ninyi Chadema mnaagiza raia waache kazi wakaandamane siku ya kazi huoni ni ujinga huo?
Raia gani akiambiwa na serikali aache kazi akafanye usafi siku ya kazi atakubali?
Chadema ndiyo wa hovyo kutaka raia tuache kazi tukaandamane, tangazeni maandamano siku ya mapumziko.
Hakuna nilipozungumzia Maandamano lakini na tangu lini jukumu la usafi wa jiji likawa la vyombo vya ulinzi na usalama? Tusivivunjie heshima vyombo vyetu hivi vinaheshimika na kutambulika kimataifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom