VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 786
Miaka 10-20 ni michache Mkuu, kasi tuionayo ya China ni Uchumi na si Sci & Tech (Kasi ya China kama taifa kiuchumi ni kubwa kuliko kasi ya hiyo hiyo China katika Sci & Tech).
Wazee wa mafeki-China-Bado wanasafari ndefu. Maendeleo ktk high tech yanahitaji mikakati madhubuti. Iko siku watafika