Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Wajuzi naomba mnijulishe
Wajuzi naomba mnijulishe
1. USA - In nearlly all fields
2. Japan - In Electrical and Electronics
fields
Hivi hawa jamaa wajapan wangeamua kuwekeza kwenye military ingekuwaje? Ndo maana wamerekani waliingia nao mkataba wa kuwalinda na wao wasiwekeze sana kwenye Jeshi. Bcs wangetisha . USA anajua hilo
4. England - Industrial, Research and Developement in all fields
Industry ya england ni history tu wakati mambo ya indusrila revolution. Most industry za endland kwa sasa ni branch tu za japan, US au nchi nyingine
7. Russia - In Electrical and Mechanical Industrial fields,Aerodynamics
What about space.? Waht about military? na aviation. Ndege kubwa inayobeba auzito mkubwa zaidi ni Antonov. Nadhaniha silaha kama AK47 na kashalanov origin yake ni russia.
8. Sweden - In Industrial and Military research fields
No hapa sikubaliani na wewe sweeden ni among the so called neutral contries haiwezi kuwa developed kwenye mambo ya military. Haina bajeti kubwa wayaoweka kwenye mambo ya jeshi.
10. Australia - In Industrial fields and
Medical,surgical fields.
Hawa nao ni kama waingereza tu hawana cha ajabu. what they have ni better enviroment ya kuwekeza investment . Cha zaidi walichnachono may be ni teknolojia za Mining na same apply to canada
Naomba niongeze au nitofatiane na wewe sehemu chache
Wataalam wengi wa fani mbali mbali wa UK, Canada au Autralia na hata US unaweza ukutuka ni wahindi. So ingawa India haitajwi infact wana wataalam wengi kwenye kuwezesha hizi nchi so called developed world. Same applie to Israel. Haitajwi lakini mambo ya logistic military na communication waisrael wanatisha.
Urusi kaiwèka namba 7 angalia vizuri.Mbona hujaitaja Urusi?
Tanzania inashikilia namba ya ngapi?
Tanzania inashikilia namba ya ngapi?
namba moja katika kupiga domo :gossip:
Naomba niongeze au nitofatiane na wewe sehemu chache
Wataalam wengi wa fani mbali mbali wa UK, Canada au Autralia na hata US unaweza ukutuka ni wahindi. So ingawa India haitajwi infact wana wataalam wengi kwenye kuwezesha hizi nchi so called developed world. Same applie to Israel. Haitajwi lakini mambo ya logistic military na communication waisrael wanatisha.
mchina.. bado ana develop .. hajawafikia japan.. wala USA.. even though miaka 10-15 anaweza akamfikia