Kelele zake alikuwa anataka auziwe nyumba tu na SMZ...
- Ni sasa hivi tu nimemaliza kuongea na Mama Anne, na amenisomea barua ya zawadi hii, ni kwamba hii zawadi inatoka moja kwa moja kwa Mama Clinton, na leo rais wa jamhuri amemtumia barua nzito sana ya kumhongera na tuzo hii.
Kwa kazi aliyoifanya mume wake, Mzee Malecela, ya kumpigia debe Kikwete, siwezi kushangaa kwa nini Kikwete asiendelee KUIHONGA hiyo familia. Utaona jinsi matangazo yake yatakavyokuwa makubwa.
Mola Wetu tuepushe na haya maigizo yanayotumika kuihadaa nchi na ulimwengu.
hahahaha!Confilikiti ofu interesiti
Mkuu FMES na wakulu wengine,nimefarijika sana kwa huyu mama kupewa tuzo hii ya heshima..
Upendo wake kwa nchi hii ni heshima kubwa sana kwetu,william mwambie mama ana aendeleze libeneke na tupo naye kwenye ukurasa moja
William karibu jamvini,
e.g EL et al wa Richmond+Dowans, Kagoda n.k,