Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,820
- 8,886
Mi nadhani wote hapa mna point cha muhimu ni kuidentify our priorities. Tanzania yetu asilimia kubwa sana ya wananchi hawana uhakika na mlo wa pili, wanatumia nishati ya kuni za kuvuna porini, hawana elimu, wakiugua wanapona kwa kudra za Muumba na wala sio dawa za hospitali, nyumba niza majani..you can go on and on.....sasa jamani kwa mwendo huo ndo unahitaji Neuclear? uifanyie kazi gani? wakati watanzania wanaotumia umeme ni chini ya 10%!!!??
Neuclear power might be a good idea, but for now we have some pressing issues which are far far more important for our survival as a nation than Nukes! Mtu aliyelala njaa huwezi kumwambia achangie pesa ya kuvuta umeme! Kabla ya kumwambia huo umeme utamsaidia vipi.....atakushangaa. Au watu humu mko ughaibuni that you are so detached to the realities in our country?? Maybe!
Lets identify our priorities correctly. Huwezi kufikiria/kutamani gari wakati uwezo wa baiskeli haupo. Lets be realistic with our goals and aspirations! we should cross the bridge when we are there!
Neuclear power might be a good idea, but for now we have some pressing issues which are far far more important for our survival as a nation than Nukes! Mtu aliyelala njaa huwezi kumwambia achangie pesa ya kuvuta umeme! Kabla ya kumwambia huo umeme utamsaidia vipi.....atakushangaa. Au watu humu mko ughaibuni that you are so detached to the realities in our country?? Maybe!
Lets identify our priorities correctly. Huwezi kufikiria/kutamani gari wakati uwezo wa baiskeli haupo. Lets be realistic with our goals and aspirations! we should cross the bridge when we are there!