Urais, Halima, Nassari na Kigoma

Status
Not open for further replies.
Napata taabu sana kuelewa statement hapo juu. Ninahisi akina Mdee na Nassari waliongea yale maneno. Zitto (na wahariri wa Mwananchi) walizipitia tape kwa umakini mkubwa sana na wana uhakika wapo sahihi. No wonder habari imechukua siku 6 kutoka. Ninahisi mtafaruku mkubwa ndani ya chama utafuata...

Very likely. Video itasaidia kujua kama kweli waliyasema, basi walisema katika mazingira gani? waliuzwa swali (leading question) na mwandishi wa habari au ilikuwaje? tusubiri.

Hata hivyo hii saga yote imekujaje? Kwanini hili tukio limetokea, na limetokea sasa? Nassari ana nguvu sana kwa vijana, je, hii saga inamwacha wapi? Na aliingiaje kwenye hii issue yote? Maswali ni mengi mengi sana, nimejikuta naanza hata kujiuliza bajeti na zile 0.
 
Nilikuwepo uwanjani pale lake Tanganyika Kigoma, kilichoandikwa ndicho nilichosikia pia. Videos zitawekwa hapa na zitathibitisha......

Nassari na Halima Mdee watasema nini after this thrilling development? sasa imegeuka kuwa battle kati ya Zitto na hawa wawili - MWANANCHI wamekaa pembeni wanacheck game linavyounfold
 
Zitto tulishakwambia kuwa hufai koz we ni mnafiki ila ww hukutusikia na ukaendelea kujificha nyuma ya pazia la udini na ukanda ila yatakutokea puani.
 
Kwa umri alio nao sasa Zito, siyo mtoto mdogo. Haya yanayoonekana kuyafanya, hasa tabia ya unafiki, ZITO HAFAI KUWA RAIS WA NCHI IWE NI MWAKA 2015, 2020 AU HATA 2050. Mtu mnafiki hafai, hafai kwa namna yeyote ile kuwa kiongozi. Tunataka kiongozi mwenye rangi moja, tukimtazama kulia tumwone ni yule yule, tukimtazama kushoto, mbele, ndani na nje awe ni yule yule. Zito hayupo hivyo. Kuna ule msemo usemao, 'MUNGU HAMFICHI MNAFIKI'. Mnafiki hampendezi mwanadamu wala Mungu. Ni aheri anayekuja kwako akijulikana ni mbaya na akawa mbaya kweli kuliko anayekuja akijifanya mzuri kumbe ni mbaya. Taifa hili tukitaka lisonge mbele ni lazima tuchague viongozi wanaoeleweka walio na sura moja, sasa hivi tuna viongozi wengi wanafiki ndiyo maana mambo yetu hayaendi. Hawa ndiyo wakiwa hapa bara wanasema, 'zanzibar siyo nchi', akikutana na wazanzibari anasema, 'tukiwa ndani zanzibar ni nchi', what a nosense!

Nimependa mchango wako, kwani Zitto ni kati ya watu wanaochangia kuchelewesha ukombozi wa nchi yetu kwasababu ya UNAFIKI. Kwa tabia ya Zitto hakuna jina lingine linalomfaa tofauti na unafiki. Nashawishika kuamini kwamba hakuna mnafiki kama Zitto anayerudisha movement za watanzania nyuma kwa kuwa rangi nyingi zilizojaa unafiki na kutaka kuonyesha kwamba yeye ni bora kuliko watu wengine huku akijificha nyuma ya pazia ya udini na wale wasiopenda kushughulisha akili zao wakiendelea kusapoti kila upuuzi unaoletwa na Zitto. Zito, hhivi unajua zile 5,000 ulizotuchangisha tukiwa first year UDSM ukiwa Rais wa Daruso? hakika sasa nimeamini ni kwanini ulitutuza zile pesa first year wote wa Mlimani, Muhimbili na UCLAS.
 
huyu jamaa kalala..si mnajua ni mnazi wa mnyama simba sasa na leo mnyama si kalambishwa yoghurt pale taifa so msitarajie video ya tukio....atakuwa na mixed feeling
 
Unacheza na maneno wewe Zitto! lazima una hila nyuma yako! kumbuka wakati wa uchaguzi mdogo wa arumeru mashariki uliibuka na maneno yako haya tata kama mchawi!! kwamba unautaka urais!! yani watu tuko biz tunahangaika kuhakikisha Joshua anapita katika AM, wewe ukaibuka ki vile, tafsi ya wengi wetu ilikuwa wewe ni kuadi unatumika tu na wa upande wa pili! ili kutunyongesha kulichukua jimbo hilo au we unafikiri logic hasa ilikuwa nini katika uchaguzi ule we kuibuka na kaule kama ile?

Haya hata hayo ya upuuzi wk hayajakauka leo linazuka hili!
Zitto wewe ni mtata sana, tena mnafiki mkubwa!
Hila mbaya kama hizi za kuuendea uongozi mkuu wa nchi yetu leo zinamtokea JK puani! hata kama kajilimbikizia mali kiasi cha kutisha hana heshima tena! atabakia kuwa kiongozi wa ovyo aliyeshindwa kuliongoza taifa lake na watu wake!

Haya we endelea tu! lakini kumbuka siku zote mwisho wa ubaya ni aibu!
JK sasa anaaibika! Tafakari!

Kama jina lako lilivyo wala sioni ajabu, toa ushauri acha kejeli!! mipasho yako ya ki taarabu na hapa ni mambo ya kitaifa na maslahi ya wananchi na si kufurahisha kabila au kikundi fulani.

Mhe amekuwa muwazi, kwanza hakuwaalika pili hakuwapangia waseme nini, zaidi ya hapo ilikua si mambo ya siasa ni uzinduzi wa mziki!! suala la wao kuacha kutoa hotuba jinsi gani ya kukuza na kulinda kazi za wasanii wao wakajikita kumsifia mhe.zitto,(kila anayechangia aangalie je hotuba ipi walitakiwa waitoe ktk sherehe hiyo?? utapata majibu walikanusha ni watu wa aina ipi) huenda pia habari imechelewa kutoka kwa kuwa waalioshiriki hotuba zao hazikuendana na sherehe hivyo ilikua ni vigumu kuzitoa lazima zichambuliwe kwa kina na kisha kuzitoa ili wananchi wajue nini kilijiri ktk sherehe hizo badala ya kukaa kimya.

Ushauri kwa Mhe. Majibu uliyotoa yanatosheleza tunasubiri mkanda, evidence!!

Wengine humu wanachuki usihangaike kuwajibu, Kumbuka vijana wote wamekuja nyuma yako wewe ndiye kijana pekee uliyethubutu na kuleta hamasa kwa vijana ktk bunge, leo kila mtu anaona anaweza kwa misingi uliyoiweka.

Mhe.nakutakia kila kheri

Ramadhani kareem.
 
Hawa watu wa kigoma mbona wana matatizo sana?2010 nilikusikia kwa masikio yangu kuwa ukija tena kwa wapiga kura wako ni kuomba kura za uraisi,bishaaaaa!!!Pliz usituchanganye kamanda kazi ya kuwang'oa magamba inayotukabili ni mapambano halafu leo mara kauli hii mara ile zote utata mtupu tukueleweje?
 
Kama jina lako lilivyo wala sioni ajabu, toa ushauri acha kejeli!! mipasho yako ya ki taarabu na hapa ni mambo ya kitaifa na maslahi ya wananchi na si kufurahisha kabila au kikundi fulani.

Mhe amekuwa muwazi, kwanza hakuwaalika pili hakuwapangia waseme nini, zaidi ya hapo ilikua si mambo ya siasa ni uzinduzi wa mziki!! suala la wao kuacha kutoa hotuba jinsi gani ya kukuza na kulinda kazi za wasanii wao wakajikita kumsifia mhe.zitto,(kila anayechangia aangalie je hotuba ipi walitakiwa waitoe ktk sherehe hiyo?? utapata majibu walikanusha ni watu wa aina ipi) huenda pia habari imechelewa kutoka kwa kuwa waalioshiriki hotuba zao hazikuendana na sherehe hivyo ilikua ni vigumu kuzitoa lazima zichambuliwe kwa kina na kisha kuzitoa ili wananchi wajue nini kilijiri ktk sherehe hizo badala ya kukaa kimya.

Ushauri kwa Mhe. Majibu uliyotoa yanatosheleza tunasubiri mkanda, evidence!!

Wengine humu wanachuki usihangaike kuwajibu, Kumbuka vijana wote wamekuja nyuma yako wewe ndiye kijana pekee uliyethubutu na kuleta hamasa kwa vijana ktk bunge, leo kila mtu anaona anaweza kwa misingi uliyoiweka.

Mhe.nakutakia kila kheri

Ramadhani kareem.

Acha kumpoteza Zitto.
 
images


Moja ya kauli ambayo dnimemheshimu sana Zitto Kabwe ndio hii, ameonyesha ukomavu wa hali ya juu na mshikamano wenye upeo mkuwa kwa manufaa ya umoja na mshikamano katika chama.

Kauli iliyotolewa na gazeti hili sidhani kama ni msimamo wa gazeti ila ni mwandishi wa habari ambaye ni shabiki wa CCM na lengo ni kuwavuruga Wanachadema.

Kimsingi wabunge waliotajwa kadiri ninavyowafahamu si watu wa kukurupuka na kutamka kitu kama hicho.
 
images


Moja ya kauli ambayo dnimemheshimu sana Zitto Kabwe ndio hii, ameonyesha ukomavu wa hali ya juu na mshikamano wenye upeo mkuwa kwa manufaa ya umoja na mshikamano katika chama.

Kauli iliyotolewa na gazeti hili sidhani kama ni msimamo wa gazeti ila ni mwandishi wa habari ambaye ni shabiki wa CCM na lengo ni kuwavuruga Wanachadema.

Kimsingi wabunge waliotajwa kadiri ninavyowafahamu si watu wa kukurupuka na kutamka kitu kama hicho.
Mkuu sijakupata kabisa,unaweza kufafanua zaidi?
 
Jamani acheni UKANDA, UKABILA, UDINI na husda kwa ZITTO yeye hajasema mashabiki mnamzozomokea, mkiangalia Mbowe alishagombea urais hakufanikiwa Slaa naye kura hazikutosha, Shariff wa CUF naye hivyohivyo. Ni kwanini CDM hamtaki Mgombea kutoka Kanda nyingine maana hata waziri wa Ulinzi Shamsa Vuai nahodha alishasema ni vigumu kumpata Rais kutoka Kigoma.

Na ndivyo Watanzania tunavyoamini NIVIGUMU NA HAITAKAA ITOKEE RAIS KUTOKA MIKOA YA KASKAZINI HASA KILIMANJARO, ARUSHA NA MANYARA. WaTanzania hawa watu wa Kanda hiyo ni wafanyabiashara na wote hata km wapo katika Siasa ni kulinda mali zao tu.
 
Baada ya gazeti kuandika walichokiandika kulitokea mgongano mkubwa wa wanachama wakilaani kuingiza vurugu za urais ndani ya chama chao mfano wa vurugu za madaraka zilizoko ndani ya CCM.

Kwa hekima ya hali ya juu watuhumiwa wawili wabunge Mdee na Nassari wamejitokeza hadharani na kukanusha na kulaani habari hizo walizodai zimepikwa.Kwa kanusho hili la wabunge hawa hali ya kisiasa ndani ya chama ikatulia.Kwa maana nyingine hawa wabunge wameangalia maslahi mapana ya chama chao.Lakini tunashangaa anajitokeza Zitto kwa kasi ya ajabu anapinga kanusho la hawa wabunge na kutishia kuwaumbua kwa kuweka hadharani maneno aliyowarekodi ya kumsifia kwamba yeye ndiye pekee anayefaa kuwa Rais.

Wenye hekima tunajiuliza Zitto hajafurahi kwa wabunge hawa kutuliza hali ya kisiasa ndani ya chama chao? Kuna nini nyuma ya Pazia? Nadhani imefika wakati wanachadema waige hekima na busara za viongozi wao wakuu Mbowe na Slaa.

Laiti viongozi hawa wangekuwa wakurupukaji na wapenda sifa CDM ingekuwa imeshatupwa kwenye kapu la historia.Mbowe anaweza kusimangwa maneni mia moja lakini atajibu moja tu.Tafakari!
 
Baada ya gazeti kuandika walichokiandika kulitokea mgongano mkubwa wa wanachama wakilaani kuingiza vurugu za urais ndani ya chama chao mfano wa vurugu za madaraka zilizoko ndani ya CCM.Kwa hekima ya hali ya juu watuhumiwa wawili wabunge Mdee na Nassari wamejitokeza hadharani na kukanusha na kulaani habari hizo walizodai zimepikwa.Kwa kanusho hili la wabunge hawa hali ya kisiasa ndani ya chama ikatulia.Kwa maana nyingine hawa wabunge wameangalia maslahi mapana ya chama chao.Lakini tunashangaa anajitokeza Zitto kwa kasi ya ajabu anapinga kanusho la hawa wabunge na kutishia kuwaumbua kwa kuweka hadharani maneno aliyowarekodi ya kumsifia kwamba yeye ndiye pekee anayefaa kuwa Rais.Wenye hekima tunajiuliza Zitto hajafurahi kwa wabunge hawa kutuliza hali ya kisiasa ndani ya chama chao? Kuna nini nyuma ya Pazia? Nadhani imefika wakati wanachadema waige hekima na busara za viongozi wao wakuu Mbowe na Slaa.Laiti viongozi hawa wangekuwa wakurupukaji na wapenda sifa CDM ingekuwa imeshatupwa kwenye kapu la historia.Mbowe anaweza kusimangwa maneni mia moja lakini atajibu moja tu.Tafakari!
Haya mambo yanasubria video, mbona una ngende?
 
Kwa maelezo haya, hatuna sababu ya kuwa na mashaka tena. Zito kujiandikia habari, kisha kuwalazimisha wanahabari kuiweka habari yake ukurusa wa mbele kwa kuwalipa fedha nyingi waandishi wa magazeti, HIYO NI HONGO. KWA HIYO ZITTO NI MTOA RUSHWA KWA MASLAHI YA KISIASA. NA SIKU ZOTE MTOA RUSHWA AKIPATA NAFASI ANAKUWA MPOKEA RUSHWA. KWA UCHAFU HUU UNAOFANYWA NA ZITO, kama baada ya uchaguzi tutaendelea kumwona Zito kwenye nafasi za juu za uongozi wa CHADEMA, sitakuwa na imani na CHADEMA tena, aheri nijue tu kuwa hatuna wa kututoa mahali tulipo. Maana uchafu huo anaoufanya Zitto ni dhahiri CHADEMA watakuwa wanaujua, na je wamechukua hatua gani?



Wataalam wa mambo ya jamii watudadavulie kuhusiana na watoto waliopatwa na matatizo ktk Makuzi Utotoni na matatizo yaambatanayo ukubwani na madhara yatokanayo na kuwapa nafasi kubwa ktk jamii za maamuzi.
 
Zitto tulishakwambia kuwa hufai koz we ni mnafiki ila ww hukutusikia na ukaendelea kujificha nyuma ya pazia la udini na ukanda ila yatakutokea puani.
Kwasasa tusimwite Zitto mnafiki,tuwe na subira tuone video tutajuwa nani mnafiki kwenye hili.Zitto huwa anasema yeye ni mtu wa principle,ngoja tuone kama ataweka video.
 
WANA BODI
Ufafanuzi wa Zitto unazua mashaka mengi. Nami kama shabiki wake, natamani afafanue haya:

-Kama hakuna mwandishi aliyealikwa, imetokeaje gazeti moja tu, Mwananchi ndilo likaandika?

-Imetokeaje kuwa yeye binafsi ana Video ya tukio hilo wakati anasema hakuwa mwenyeji wa tukio hilo? Hata kama mwandaaji mwingine asiye Zitto alichukua mkanda huo, sasa umefikaje mikononi mwa Zitto?

-Kwa nini imechukua muda mrefu gazeti hili kuandika habari hii (almost one week), tena kama lead story?

-Kwa nini Zitto anatetea objectivity ya gazeti hili wakati gazeti hili hili wiki hii limechapisha apology kwa Membe na balozi mbalimbali kwa kuwasingizia?

-Kwa nini Zitto anatetea gazeti kuliko kutetea makada wenzake katika suala linaloweza kuvuruga chama chake?

-Je kwa nini Zitto anaelekea kuthibitisha utabiri wa Steven Wassira kuwa Chadema itavurugika kabla ya mwisho wa mwaka?

-Pamoja na Zitto kuonekana kupuuza suala la urais katika ufafanuzi wake, kwa nini anaelekea kushabikia na kupenda ikubalike kuwa wabunge hao walisema kuwa yeye anafaa kuwa rais wa taifa letu?

Mkakati mzima umejaa matundu ya hatari.
 
Kiukweli Zitto iliuweze kuiweka CHADEMA pazuri nivema ukawa muwazi kuliko kutuweka kwenye mabano. Nikama haupo pamoja na baadhi ya wabunge wa CHADEMA. Be a man speak out.
 
WANA BODI
Ufafanuzi wa Zitto unazua mashaka mengi. Nami kama shabiki wake, natamani afafanue haya:

-Kama hakuna mwandishi aliyealikwa, imetokeaje gazeti moja tu, Mwananchi ndilo likaandika?

-Imetokeaje kuwa yeye binafsi ana Video ya tukio hilo wakati anasema hakuwa mwenyeji wa tukio hilo? Hata kama mwandaaji mwingine asiye Zitto alichukua mkanda huo, sasa umefikaje mikononi mwa Zitto?

-Kwa nini imechukua muda mrefu gazeti hili kuandika habari hii (almost one week), tena kama lead story?

-Kwa nini Zitto anatetea objectivity ya gazeti hili wakati gazeti hili hili wiki hii limechapisha apology kwa Membe na balozi mbalimbali kwa kuwasingizia?

-Kwa nini Zitto anatetea gazeti kuliko kutetea makada wenzake katika suala linaloweza kuvuruga chama chake?

-Je kwa nini Zitto anaelekea kuthibitisha utabiri wa Steven Wassira kuwa Chadema itavurugika kabla ya mwisho wa mwaka?

-Pamoja na Zitto kuonekana kupuuza suala la urais katika ufafanuzi wake, kwa nini anaelekea kushabikia na kupenda ikubalike kuwa wabunge hao walisema kuwa yeye anafaa kuwa rais wa taifa letu?

Mkakati mzima umejaa matundu ya hatari.

Omutwale Baija Bolobi

This what I call great thinking! Hebu tu-assume kuwa kweli Mdee na Nassari walinukuliwa sahihi-ni vipi sasa baada ya kuona kuwa kauli zao maybe zilitokana na kuwa carried away na jinsi maandalizi na tamasha lenywe lilivyofana, na sasa wakagundua kuwa zimeleta mtafaruku ndani ya chama chao, then wakaamua kukanusha for the well being ya chama, iweje Zitto aamue kuwaumbua kwa kusisitiza kuwa walinukuliwa sahihi, bila kujali kuwa anakiweka chama (in this case na sisi wapenda mabadiliko) katika wakati mgumu? Haikotosha kumfanya aone kuwa wabunge wenzie waliropoka, na ni jukumu lake kuwasitiri for the betterment of their party and Tanzanians at large? Iko wapi busara ya kiuongozi sasa Zitto? Yani wapi kisemwe nini na kwa wakati gani? (Rejea kauli za Mukama kwenye msiba ya Bob Makani). Wewe unachotaka hapa ni kutuaminisha kuwa walisema hivyo na ndicho kilicho sahihi, na uko tayari kulisimamia hilo at the expense ya mtafaruku ndani ya chama! Sasa nani unategemea atachagua Rais mbinafsi hivyo? Tulikosea kwa JK, haturudii tena!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom