Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Siyo kweli....JK aliutaka saaaaaana na akaupata. Leo Lowassa na Zitto wanautaka saaaaaana na wataupata. Kumbuka
kuwa Tanzania na wananchi wake ni shamba la bibi....sijui tumelogwa!
No JK Hakuutaka sana, na kwa taarifa, baada ya lowasa kubaini ugumu wa yeye kutokuwa rais bila kuanzia kwenye uwaziri mkuu ili afute sumu za nyerere ndio alifanikisha Kikwete kuingia Ikulu.
Kikwete asingeweza kwa utashi na uwezo wake binafsi kupambana na fitna za Mkapa, Mangula na Sumaye, ndio maana kwa mara ya kwanza kwenye uchaguzi wa mwaka 2005 zilitumika pesa nyingi sana kwenye uchaguzi katika historia ya nchi yetu huku yeye Mwenyewe Jakaya akiwa hana thumni, pale lowasa alijua na kuamini kwamba unknowingly Watanzania walikuwa wamemchagua yeye kuwa rais, na oficially angeapishwa 2015, Ndio maana Jakaya hajawahi kubehave kama president ever toka ameingia ikulu, anang'amuang'amua macho tu, hajui afanye nini, aseme nini, amebakia kumshukuru Mwenyezi Mungu tu basi.
Zungumzia Lowasa, Lipumba, Mrema, Malecela, Mwandosya.
Amini nakuambia nchi hii, hawa hata na ZITTO hawatakuwa marais wa nchi hii, ila Naodha akawa; sijui kwanini naamini sana hii trend.