Zitto ni kibaraka.....na wote wanaomuunga mkono ni ajents wa sisiemu kwa kutaka kukigawa Chadema.
Narudia, ni haki ya Nyepesi Z Kabwe kuwa na nia ya kuwa rais, lakini anapo mahali pa kuelezea nia yake ndani ya chama na muda gani. Hata hao CCM, hakuna hata mmoja aliyetamka hadharani nia yake ya kugombea urais kwa sasa, na kama atafanya hivyo anajua wapi na lini ndani ya chama.
Huyo ni mchumia tumbo, mlafi na anayetafuta sifa ambazo alisha zipoteza......!
....Ntataja walioficha hela uswis kama sisiem wasipowataja.....zamani ulikuwa hivyo? Unaendesha hammer walio waliokuchagua wanaishi kwenye nyumba za tembe.......! Anza kwa ku'manage mke kwanza.......!
Kibanga Msese
Narudia, ni haki ya Nyepesi Z Kabwe kuwa na nia ya kuwa rais, lakini anapo mahali pa kuelezea nia yake ndani ya chama na muda gani. Hata hao CCM, hakuna hata mmoja aliyetamka hadharani nia yake ya kugombea urais kwa sasa, na kama atafanya hivyo anajua wapi na lini ndani ya chama.
Huyo ni mchumia tumbo, mlafi na anayetafuta sifa ambazo alisha zipoteza......!
....Ntataja walioficha hela uswis kama sisiem wasipowataja.....zamani ulikuwa hivyo? Unaendesha hammer walio waliokuchagua wanaishi kwenye nyumba za tembe.......! Anza kwa ku'manage mke kwanza.......!
Kibanga Msese