Urais 2015: Mtei amshukia Zitto

Mkuu Mag3, kwanza tukubaliane yafuatayo...
  1. Chama ni wanachama wenye lengo moja na nia moja, hivyo chama sio jina, jengo au mtu!. Chadema sio ZZK, Mbowe au Slaa, its more than that!. Kuna manazi wa Chadema, kwao Chadema ni "watu" na hao watu kwao ndio lazima wawe wao, kama sio wao basi hakuna wengine!, hakuna chama!.
  2. Chama cha kidemokrasia ni kile kinachofuata misingi ya demokrasia vs misingi ya kidictator, Chadema ni chama cha kidemokrasia na kinahubiri demokrasia, kinawajibika ku practice hiyo demokrasia kuanzia ndani ya chama ndipo kije kwenye nchi, "practice what you preach"!.
  3. ZZK ametangaza nia ya kugombea kwa mujibu wa haki zake za kidemokrasia kama mwanachama mwingine yoyote, hajavunja sheria yoyote!, hajakiuka kanuni yoyote!, wala taratibu zozote za chama!. Unless unieleze sheria, taratibu na kanuni za kutangaza nia Chadema zikoje?.
  4. Pamoja na umaarufu wote wa Chadema, Chadema kama chama, kilipaswa kuongozwa na viongozi wakuu 4. viongozi wakuu 4. Mwenyekiti, M/Mwenyekiti, Katibu Mkuu na N/Katibu Mkuu!. Ila kiukweli Chadema inaongozwa na viongozi wawili tuu, and infact kiukweli inaongozwa na kiongozi mmoja tuu!, huyu mwingine ni follower tuu hawezi kumbishia lolote kiongozi wake as a result, Chadema kinaendesha "politics of confrontation" as if kinataka kuchukua nchi kwa mapinduzi na sio kupitia ballot box!.
  5. Nilipo andika "Chadema haijajipanga", nilisema "Chadema Peke yake haiwezi"!. Kiongozi mkuu wa Chadema ni kama mjeshi, yeye anaamuru mashambulizi tuu, ni confrontations tuu badala ya co-oparation!, Ndio maana maandamano na mikutano ya hadhara na misuso ni mtaji mkubwa kwenye M4C.
  6. Uchaguzi wa 2015 ni vita kubwa kati ya waliopo CCM ambao wajajipanga kuwa ving'ang'anizi, na Chadema wanaotaka kuwapokonya. Ili Chadema ishinde vita hii, si lazima itumie jeshi lake kwa kulisongesha mbele kushambulia adui kwa mikutano na maandamano tuu, linahitaji sio tuu kamanda muamrishaji "shambulia!, shambulia!", bali linahitaji kama strategist, na "tactician" atakayetumia tactics kushambulia na sio kuwaswaga tuu wanajeshi wake!. ZZK ndie strategist na tactician, waliopo wana wa swaga tuu kushambulia!.
  7. Ili Chadema ishinde vita hiyo, inahitaji, ushirikiano na umoja ambao ni nguvu!, Ili Chadema ishinde, inazihitaji kura za CCM, za CUF za NCCR Magauzi and the like. Viongozi waliopo wanashadadia zaidi "confrontation" kushambulia tuu, ili kumuangamiza adui CCM badala ya kumbadili mawazo na kumu integrate huyo adui ili umtumie for your own good use!, ambapo ni ZZK pekee ndiye mwenye "spirit ya umoja ni nguvu"!, anaweza kuzivuna kura za CCM, CUF na za Chadema zenyewe kwa kuihesabu CCMna CUF kama washindani na sio maadui!. Hii "compromising" position ya ZZK ndio inamfanya aonekane "msaliti" kitu ambacho sii kweli!.
  8. Katiba iliyopo ina mapungufu kwa kutoweka "quoter" system ya ushindi, hivyo chama kinaweza kuuchukua ushindi wa kutawala Tanzania bila hata ya kura moja kutoka Zanzibar, hivyo kuitawala Zanzibar kimabavu!. Chadema wajiandae kwa katiba mpya itaweka kipengele ili chama kishinde kihalali, lazima ushindi huo ujumuishe angalau theluth moja ya kura za visiwani!. Bila ushirikiano na CUF, sio jinsi yoyote mgombea wa Chadema asiyetaka ushirikiano, atakavyoweza kuvuna theluthi moja ya kura za Zanzibar zaidi ya ZZK!.
  9. Ili ushindi wa 2015 upatikane kwa Chadema, "lazima" (nasisitiza) "LAZIMA" (with no posibility ya any option), Chadema iendeshe siasa za "ukweli" "the politics of truth"!, kwa kukukubali ukweli kuwa CCM ipo, na kuna vitu CCM imefanya ambavyo vinaonekana wazi with naked eyes, na kueleza Chadema wao wakija, watafanya nini tofauti, na sio kulaumu na kushutumu tuu mwanzo mwisho!. ZZK is the only one mwenye kuliweza hili kutokana na kuendesha siasa za ukweli kwa kutumia "Nguvu za Hoja" vs "Hoja za Nguvu"!.
  10. Chadema kama chama, kinapaswa kionyeshe ukomavu wa demokrasia ndani ya chama kwa ku encourage all hopefuls wa nafasi zote kuanzia serikali za mitaa, udiwani, ubunge hadi urais, kujitokeza kwa vingi ili sio tuu kuwapima, bali pia kuwa groom and get the best out of them!. Nia ya ZZK needs support ana uungwaji mkono na Mbowe na Dr. Slaa na kuencourage wengine wengi wajitokeze, badala ya hatua hii ya muasisi kumyooshea ZZK accusing finger, ila pia ZZK anahitaji busara japo kidogo tuu asijibishane na wazee wake!.

Pasco.

umeeleza vizuri sana na kwa hekima kubwa sana ila umesahau ishu ndogo sana...kutangaza nia kwa zzk kwa kipindi hiki ambacho chama kinaangaika kujijenga ni kudhoofisha chama kujijenga, mentally people will shift towards election...itasaidia nini zzk akiwa raisi huku ana wabunge 10??? Atatekeleza ilani ipi kama sio ya ccm??? Ishu ni right thing at a right time. Narudia : wakati wa msiba tuomboleze kama familia wakati wa sherehe tusherehekee kama familia. Ishu sio tuu kushika dola...ila pia ni kutawala
 
Kwa mara ya kwanza nampa like pasco ila tu zitto ana muda wa kujirekebisha ili kufanya kazi kitimu zaidi ndan ya chadema
 
Mkuu Mag3, kwanza tukubaliane yafuatayo...
  1. Chama ni wanachama wenye lengo moja na nia moja, hivyo chama sio jina, jengo au mtu!. Chadema sio ZZK, Mbowe au Slaa, its more than that!. Kuna manazi wa Chadema, kwao Chadema ni "watu" na hao watu kwao ndio lazima wawe wao, kama sio wao basi hakuna wengine!, hakuna chama!.
  2. Chama cha kidemokrasia ni kile kinachofuata misingi ya demokrasia vs misingi ya kidictator, Chadema ni chama cha kidemokrasia na kinahubiri demokrasia, kinawajibika ku practice hiyo demokrasia kuanzia ndani ya chama ndipo kije kwenye nchi, "practice what you preach"!.
  3. ZZK ametangaza nia ya kugombea kwa mujibu wa haki zake za kidemokrasia kama mwanachama mwingine yoyote, hajavunja sheria yoyote!, hajakiuka kanuni yoyote!, wala taratibu zozote za chama!. Unless unieleze sheria, taratibu na kanuni za kutangaza nia Chadema zikoje?.
  4. Pamoja na umaarufu wote wa Chadema, Chadema kama chama, kilipaswa kuongozwa na viongozi wakuu 4. viongozi wakuu 4. Mwenyekiti, M/Mwenyekiti, Katibu Mkuu na N/Katibu Mkuu!. Ila kiukweli Chadema inaongozwa na viongozi wawili tuu, and infact kiukweli inaongozwa na kiongozi mmoja tuu!, huyu mwingine ni follower tuu hawezi kumbishia lolote kiongozi wake as a result, Chadema kinaendesha "politics of confrontation" as if kinataka kuchukua nchi kwa mapinduzi na sio kupitia ballot box!.
  5. Nilipo andika "Chadema haijajipanga", nilisema "Chadema Peke yake haiwezi"!. Kiongozi mkuu wa Chadema ni kama mjeshi, yeye anaamuru mashambulizi tuu, ni confrontations tuu badala ya co-oparation!, Ndio maana maandamano na mikutano ya hadhara na misuso ni mtaji mkubwa kwenye M4C.
  6. Uchaguzi wa 2015 ni vita kubwa kati ya waliopo CCM ambao wajajipanga kuwa ving'ang'anizi, na Chadema wanaotaka kuwapokonya. Ili Chadema ishinde vita hii, si lazima itumie jeshi lake kwa kulisongesha mbele kushambulia adui kwa mikutano na maandamano tuu, linahitaji sio tuu kamanda muamrishaji "shambulia!, shambulia!", bali linahitaji kama strategist, na "tactician" atakayetumia tactics kushambulia na sio kuwaswaga tuu wanajeshi wake!. ZZK ndie strategist na tactician, waliopo wana wa swaga tuu kushambulia!.
  7. Ili Chadema ishinde vita hiyo, inahitaji, ushirikiano na umoja ambao ni nguvu!, Ili Chadema ishinde, inazihitaji kura za CCM, za CUF za NCCR Magauzi and the like. Viongozi waliopo wanashadadia zaidi "confrontation" kushambulia tuu, ili kumuangamiza adui CCM badala ya kumbadili mawazo na kumu integrate huyo adui ili umtumie for your own good use!, ambapo ni ZZK pekee ndiye mwenye "spirit ya umoja ni nguvu"!, anaweza kuzivuna kura za CCM, CUF na za Chadema zenyewe kwa kuihesabu CCMna CUF kama washindani na sio maadui!. Hii "compromising" position ya ZZK ndio inamfanya aonekane "msaliti" kitu ambacho sii kweli!.
  8. Katiba iliyopo ina mapungufu kwa kutoweka "quoter" system ya ushindi, hivyo chama kinaweza kuuchukua ushindi wa kutawala Tanzania bila hata ya kura moja kutoka Zanzibar, hivyo kuitawala Zanzibar kimabavu!. Chadema wajiandae kwa katiba mpya itaweka kipengele ili chama kishinde kihalali, lazima ushindi huo ujumuishe angalau theluth moja ya kura za visiwani!. Bila ushirikiano na CUF, sio jinsi yoyote mgombea wa Chadema asiyetaka ushirikiano, atakavyoweza kuvuna theluthi moja ya kura za Zanzibar zaidi ya ZZK!.
  9. Ili ushindi wa 2015 upatikane kwa Chadema, "lazima" (nasisitiza) "LAZIMA" (with no posibility ya any option), Chadema iendeshe siasa za "ukweli" "the politics of truth"!, kwa kukukubali ukweli kuwa CCM ipo, na kuna vitu CCM imefanya ambavyo vinaonekana wazi with naked eyes, na kueleza Chadema wao wakija, watafanya nini tofauti, na sio kulaumu na kushutumu tuu mwanzo mwisho!. ZZK is the only one mwenye kuliweza hili kutokana na kuendesha siasa za ukweli kwa kutumia "Nguvu za Hoja" vs "Hoja za Nguvu"!.
  10. Chadema kama chama, kinapaswa kionyeshe ukomavu wa demokrasia ndani ya chama kwa ku encourage all hopefuls wa nafasi zote kuanzia serikali za mitaa, udiwani, ubunge hadi urais, kujitokeza kwa vingi ili sio tuu kuwapima, bali pia kuwa groom and get the best out of them!. Nia ya ZZK needs support ana uungwaji mkono na Mbowe na Dr. Slaa na kuencourage wengine wengi wajitokeze, badala ya hatua hii ya muasisi kumyooshea ZZK accusing finger, ila pia ZZK anahitaji busara japo kidogo tuu asijibishane na wazee wake!.

Pasco.

Laiti ungemsikiliza Mkurugenzi wa habari na uenezi wa CDM John Mnyika jana alivyokuwa anajibu maswali ya Fina Mango usingethubutu kuandika ulichoandika.
CDM ni movement na njama yoyote ya kuidhoofisha hamtafanikiwa.Hayo ndiyo machache ninayoweza kukueleza kwa sasa.
 
Mkuu huyu mtu Malemo ni mpuuzi sana, na kama kweli ni mtumishi hapo HQ ya CDM basi hafai hata kidogo
Yeye kutwa kuchwa na Zitto tu, anadhani anajenga kumbe anabomoa
Na huye mzee mtei busara zimemuisha kwa uzee, alikuja na udini kwenye tume ya katiba na sasa anaanza kuzima tena demokrasia ndani ya chama

Idiot!...Oohhh Boy!
 
CHADEMA ni chama makini, naamini kimekua na kuimarika vya kutosha pia naamini kinauwezo wa kustahimili swala la kumpata mgombea makini wa urais 2015 na kukiletea chama, madiwani wengi, wabunge na ushindi wa kishindo ktk kushika dola.
 
Idiot!...Oohhh Boy!
Ukiwa unaoga mtoni, akaja kichaa na kukuibia nguo zako zote na kuanza kukimbia nazo, ukitoka mtoni na kumkimbiza, watu watakao shuhudia mbio hizo, watawaona nyie wote wawili ni vichaa!.
Humu jf tuna vichaa kibao tuu ambao sio lazima mpaka waokote makopo!.
Kama aliyekuita wewe ni kichaa na wewe umejibu kwa kumtukana, sisi wasomoja tunawaona wote ni vichaa tuu japo mnatofautiana level!.
 
CDM ni movement na njama yoyote ya kuidhoofisha hamtafanikiwa.Hayo ndiyo machache ninayoweza kukueleza kwa sasa.
Umenikumbusha ule msemo wa
"Kuna njama za kuhujumu na kudhulumu...
sasa kumbe kuna njama za kuidhoofisha hiyo movement!,
Na ndio umetuhesabu akina sisi tuma na kutuambiwa "hatutafanikiwa!"
Asante na tuendelee, ila nakuomba uweke kwenye kumbukumbu zako
Matokeo ya 2015 ni "He who laugh last, laugh most"!.
P.
 
Ukiwa unaoga mtoni, akaja kichaa na kukuibia nguo zako zote na kuanza kukimbia nazo, ukitoka mtoni na kumkimbiza, watu watakao shuhudia mbio hizo, watawaona nyie wote wawili ni vichaa!.
Humu jf tuna vichaa kibao tuu ambao sio lazima mpaka waokote makopo!.
Kama aliyekuita wewe ni kichaa na wewe umejibu kwa kumtukana, sisi wasomoja tunawaona wote ni vichaa tuu japo mnatofautiana level!.

Mkuu wewe endelea kufanya kazi uliyotumwa kufanya.Maneno mengi ya nini? Sisi wengine tayari tunajua mwisho wake.
 
Umenikumbusha ule msemo wa
"Kuna njama za kuhujumu na kudhulumu...
sasa kumbe kuna njama za kuidhoofisha hiyo movement!,
Na ndio umetuhesabu akina sisi tuma na kutuambiwa "hatutafanikiwa!"
Asante na tuendelee, ila nakuomba uweke kwenye kumbukumbu zako
Matokeo ya 2015 ni "He who laugh last, laugh most"!.
P.

Thankyou for showing us your true colour.So you mean your Party CCM will laugh Last? Fantastic...!
 
Thankyou for showing us your true colour.So you mean your Party CCM will laugh Last? Fantastic...!
Mkuu Molemo, hili ni moja ya matatizo ya hawa ninao waita "manazi" wa Chadema waliotamalaki humu jf!, Kila ukitofautiana nao, basi unapachikwa kila aina ya majina!. Inaonekana CCM inawakosesha usingizi, manazi wa type yako, ndio maana kwenu kile anayewakosoa basi ni lazima awe katumwa na ni CCM!. Hivi siwezi kuwa CUF, TLP, UDP, NCCR-Mageuzi etc, lazima tuu niwe CCM?. Au kwa sababu mgombea wangu ni EL basi mimi ndio CCM!.

Dhamira yangu, tena with very clear conscious inanituma kufanya ukosoaji wa wazi wa vyama vyote. Niliwaambia "CCM Imechokwa", "Chadema haijajipanga" na "SUK kwa CUF ni imejichimbia kaburi". What matters most ni "the motive behind" ukosoaji huo!. At the end of the day, unaweza kuja kukuta sisi wakosoaji wa Chadema, ndio tunaisaidia zaidi Chadema kuliko nyie waimbiaji wa nyimbo za sifa, shangwe na mapambio!.

By the way, nimesikia ukitajwa kufanyia kazi Chadema makao makuu, ukipata fursa kuingia ofisini kwa Dr. Slaa, fungua lile buku la wageni, perusi perusi majina, utaliona jina la Pasco wa jf, huwa ninafika hapo from time to time na nitaendelea kufika as days go by!. Ila pia Lumumba huwa ninafika na kule Buguruni pia hutembelea!.
Kwa vile unaamini nimetumwa, nakushauri umshauri Dr. na Freeman, siku nyingine Pasco wa jf akitia mguu hapo Togo, arudishiwe mlangoni, asiruhusiwe hata kuingiza mguu ndani, maana umeshamshukia nitakuwa nimetumwa na CCM kuwapeleleza!.
P.
 
Mkuu Molemo, hili ni moja ya matatizo ya hawa ninao waita "manazi" wa Chadema waliotamalaki humu jf!, Kila ukitofautiana nao, basi unapachikwa kila aina ya majina!. Inaonekana CCM inawakosesha usingizi, manazi wa type yako, ndio maana kwenu kile anayewakosoa basi ni lazima awe katumwa na ni CCM!. Hivi siwezi kuwa CUF, TLP, UDP, NCCR-Mageuzi etc, lazima tuu niwe CCM?. Au kwa sababu mgombea wangu ni EL basi mimi ndio CCM!.

Dhamira yangu, tena with very clear conscious inanituma kufanya ukosoaji wa wazi wa vyama vyote. Niliwaambia "CCM Imechokwa", "Chadema haijajipanga" na "SUK kwa CUF ni imejichimbia kaburi". What matters most ni "the motive behind" ukosoaji huo!. At the end of the day, unaweza kuja kukuta sisi wakosoaji wa Chadema, ndio tunaisaidia zaidi Chadema kuliko nyie waimbiaji wa nyimbo za sifa, shangwe na mapambio!.

By the way, nimesikia ukitajwa kufanyia kazi Chadema makao makuu, ukipata fursa kuingia ofisini kwa Dr. Slaa, fungua lile buku la wageni, perusi perusi majina, utaliona jina la Pasco wa jf, huwa ninafika hapo from time to time na nitaendelea kufika as days go by!. Ila pia Lumumba huwa ninafika na kule Buguruni pia hutembelea!.
Kwa vile unaamini nimetumwa, nakushauri umshauri Dr. na Freeman, siku nyingine Pasco wa jf akitia mguu hapo Togo, arudishiwe mlangoni, asiruhusiwe hata kuingiza mguu ndani, maana umeshamshukia nitakuwa nimetumwa na CCM kuwapeleleza!.
P.

Ha..!Ha...!Haaaaa! Mkuu nimesoma gazeti la Mwananchi la leo na limesema Kambi ya EL inang'ara mikoani kote. BTW nadhani sasa unaelekea Courtyard kwenye mkutano wa Sumaye ambapo anatarajiwa kumlipua mtu wako.Ha....Haaaa...!
 
Mkuu Molemo
Naona umejibu kwa jazba na hamaki kubwa; hebu tuelemishe Zitto amevunja kipengele gani cha katiba ya Chadema? Nimekuuliza swali hili mapema sana jibu huna; nipe sababu nizijue kama ni kweli Zitto si mwadilifu hata mimi nitakusaidia kumpiga madongo kwasababu sipo tayari kuona Tanzania inaongozwa na mtu mwenye mapungufu ya kisiasa.

Chama
Gongo la mboto DSM
Uongozi ni hekima si tu kuangalia katiba.. mbona hujiulizi katiba ya ccm inaruhusu mtu yoyote kuwania uenyekiti wa chama lakini kwa taratibu zao mwenyekiti aliyeko hapingwi mpaka amalize muda wake.

Jiulize pia ndani ya ccm kuna wengi wanaoutaka urais ila kwa sasa wakiulizwa hutumia hekima kujibu na si kukurupuka maana haki ina mipaka na taratibu za kufuata, kimsingi kwa sasa chama kipo katika harakati za kujijenga na sio mbio za urais ndani ya chama sasa ingekuwa vema tukaona mikakati yake ya kukisaidia cdm kushika dola bila kujali nani atapeperusha bendera ya cdm 2015
 
Uongozi ni hekima si tu kuangalia katiba.. mbona hujiulizi katiba ya ccm inaruhusu mtu yoyote kuwania uenyekiti wa chama lakini kwa taratibu zao mwenyekiti aliyeko hapingwi mpaka amalize muda wake.

Jiulize pia ndani ya ccm kuna wengi wanaoutaka urais ila kwa sasa wakiulizwa hutumia hekima kujibu na si kukurupuka maana haki ina mipaka na taratibu za kufuata, kimsingi kwa sasa chama kipo katika harakati za kujijenga na sio mbio za urais ndani ya chama sasa ingekuwa vema tukaona mikakati yake ya kukisaidia cdm kushika dola bila kujali nani atapeperusha bendera ya cdm 2015

Mkuu wangu wewe ni Genious.
 
chadema bana,sasa huyu kiongozi anaamini kuwa chama chake ni cha kidini na kikabila,hiyo ni hoja ya ccm,na yeye anakubaliana nao kwasababu hayo maneno hapo chini yanathibitisha hilo.Kwahiyo yeye anakubaliana kabisa na hoja hizo,na solution yake yeye ni kwamba yeye ndiye mwenye uwezo huo wa kuifuta hiyo dhana.Hilo linaonekana kabisa kuwa chadema mnakubaliana naye ndiyo maana hakuna hatua zozote mnazochukuwa.Na hilo mkiliacha liendelee,mje kukurupuka close to 2015,mtakuwa mmeliwa kubwa.Chukueni hatua mapema,nilishasema kuwa mchukuwe maamuzi ya either kusuka ama kuonyoa,vyote vitakuwa na manufaa kwa chama chenu.


Halafu kuonyesha kwamba hizo hoja za ukanda na udini anazishabikia dhidi ya chama chake kwa masalhi yake binafsi,kauli hiyo hapo chini ni ya kwake,kujionyesha kwamba anaonewa kwasababu either si mchagga,ama pia si mtu wa kaskazini.Kuna member humu ambao wanazungumza lugha hizo hizo lakini kwa ukali zaidi,ila zina kila symptons za huyo Zitto...

As if chama chake kilisema kuwa watu wa Kigoma hawana uwezo wa kuwa marais...Hicho ni kijembe kuwa chadema(chama chake),ni chama kisicho na imani na wagombea wasiokuwa wa kaskazini ama wachagga.

CDM,kusema muendelee kunyamaza,bila kuchukuwa hatua ni sawa na mdharau mwiba ambapo mguu huota tende.Kunyamaza eti kusema yataisha yenyewe ndilo hilo hilo,msipoziba nyufa ni dhahiri mtajenga ukuta,inaweza ikawa too late kwenye ujenzi wa ukuta huo given the time factor.

Kama mnakubaliana na kiongozi wenu wa juu kuwa chama chenu ni cha kikabila,kidini na kikanda,chukueni hatua kuiondoa hiyo dhana.

Na kama hamkubaliani na kiongozi wenu huyo,pia chukueni hatua.Ndiyo maana ya kusuka ama kuonyoa,ndiyo maana ya kutokudharau tende,ndiyo maana halisi ya kuziba nyufa.

Pia anaamini kuwa ndani ya chama chake kuna udikteta...




Kazi kwenu.

Siwezi kupingana nawe kwani najua dhahiri Zitto tunaye katika mada hii tukijadili akiwa na ID nyingine, hivyo anajua nini kinaendelea, na wengine tunaoshindana nao humu tukifikiri ni wa Nape kumbe ni wa Zitto Kabwe au Zitto mwenyewe.
 
Sihitaji kuheshimiwa na mtu kama wewe,kwani sijazoea unafiki.Unafiki na kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa ndiyo umefikisha Taifa hapa lilipo.Siwezi kuunga mkono mtu yeyote asiye na hekima anayetaka kugawa CDM vipande vipande.Nakuambia wazi NO na haitatokea Asilani.Vyama vya hovyo hovyo vipo kibao na mtu yeyote anayependa vurugu aende huko kufanya vurugu zake.
Narudia ni bora tutawaliwe na CCM hata miaka mia moja ijayo kuliko kuruhusu wavurugaji kwa ukaidi na ubinafsi wao kutaka kuua chama.Wapo mashujaa waliokufa huku wakipigania chama na damu zao zinalilia haki Ardhini.
Kwa akili yako unadhani mtu yeyote akipingana kimawazo na watu wanaotaka kuvuruga chama basi ni lazima wawe wafuasi wa fulani au mapandikizi? Hiyo ni akili mgando iliyojengwa katika fikra za kimaskini na za ki-CCM.Kama wewe ni kundi la fulani basi usidhani watu wote ni wa hovyo hovyo au ni cheap kiasi hicho.


Kati yako na Zitto nani mnafiki? Zitto, Mnyika, Slaa, Mbowe na wengine wanatoa maoni yao hadharani wakitumia majina na utambulisho wao halisi. Wewe unamshambulia Zitto ukitumia jina Molemo. What is Molemo by the way. Najua una jina halisi, then kwa nini unajificha na ID za kiJF kumshambulia Zitto? Wewe ndiye mnafiki namba moja, maana nina uhakika wewe ni mmoja wapo wa waliopewa vijinafasi hapo CDM, na ukiwa na kiongozi wako Zitto unajifanya kumpigia makofi, lakini baadae ukirudi nyuma ya kompyuta unamponda. KAMA WEWE SIO MNAFIKI JITOKEZE HADHARANI KWA JINA LAKO, USEME UNAMPINGA ZITTO. Eti unaongelea mashujaa!!! Nitajie hata shujaa mmoja aliyewahi kuwa shujaa kwa kujificha na viji ID feki kwenye mitandao...
 
Kati yako na Zitto nani mnafiki? Zitto, Mnyika, Slaa, Mbowe na wengine wanatoa maoni yao hadharani wakitumia majina na utambulisho wao halisi. Wewe unamshambulia Zitto ukitumia jina Molemo. What is Molemo by the way. Najua una jina halisi, then kwa nini unajificha na ID za kiJF kumshambulia Zitto? Wewe ndiye mnafiki namba moja, maana nina uhakika wewe ni mmoja wapo wa waliopewa vijinafasi hapo CDM, na ukiwa na kiongozi wako Zitto unajifanya kumpigia makofi, lakini baadae ukirudi nyuma ya kompyuta unamponda. KAMA WEWE SIO MNAFIKI JITOKEZE HADHARANI KWA JINA LAKO, USEME UNAMPINGA ZITTO. Eti unaongelea mashujaa!!! Nitajie hata shujaa mmoja aliyewahi kuwa shujaa kwa kujificha na viji ID feki kwenye mitandao...

Mnafiki ni wewe namba moja.Mbona wewe umejificha na ID feki ya TUKO.Wewe ndiye mchochezi namba moja unayetaka tukiona mtu anavuruga chama tuogope kusema pole sana.Kama wewe sio mnafiki ungeanza kusema wewe ni nani? Kutumia majina halisi si hoja BTW unaweza kutumia majina halisi huku ukiwa na ID feki hata kumi.Huenda wewe ni mmoja wao na ninabishana na mtu mwenye ID hata kumi.
Usidhani kila mtu anayetetea ustaarabu ndani ya chama amepewa vijivyeo hapo CDM na wala usidhani kila mtu ana njaa kama ulivyo.
Unataka kunifundisha namna ya kutoa maoni hapa JF.Pole sana na umekosea sana.
Watu tuna uchungu na demokrasia na tunachelea kuona watu wachache wakigeuza demokrasia kuleta fujo.
Kwanini usimshauri huyo kipenzi wako asiwe mstaarabu kwa maslahi ya chama? Kwanini asiwe kama Mnyika au January Makamba? Kwani akifuata ushauri wa wazee wake ndani ya chama huo mwaka 2015 haitafika? Lazima sisi wengine tumwambie NO punguza spidi,jenga chama kama wenzako,tulia kama wenzako halafu kipenga kikipulizwa chukua fomu.Hapa kuna kosa gani? Hapa kashambuliwa au kaambiwa ukweli?
Ninakushangaa wewe TUKO unayeona swahiba wako kaonewa kwa kufundishwa ustahimilivu wa kisiasa.
Narudia tena kukuonya usitake kuchagulia watu cha kujadili hapa JF.Hakuna sheria yoyote iliyovunjwa,LAU kama kuna sheria nimevunja nishtaki kwa MODS wanifungie kwa sababu umeonyesha wewe ni dikteta mkubwa usiyependa kuona Swahiba wako akiguswa.Mtu mnafiki na mzandiki anajulikana tu kwa maneno yake kama wewe unayeshambulia mleta mada badala ya kujadili mada yenyewe.Huo ni uwendawazimu!
Samwel Sitta alisema mwanasiasa ni lazima uwe na ngozi ngumu sasa kama mnalalamika hivi kwa kuhoji tu matendo yenu kwa nia njema je,tukiwapa Urais mtaweza?
 
Back
Top Bottom