MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
hii serikali ya m''kwere ni vururuvururu tu tangu aingie madarakani, sasa wanaharibu hadi nature ya magogoni, uuuuuuwiiiiiiiiiiiiiii.....niikahi moyo wangu.
Mpango huu ulikuwapo tangu enzi za Mkapa, serikali ya awamu ya nne ya JK imeendeleza tu wazo la serikali ya awmu ya tatu