Upungufu wa nguvu za kiume na kike upo hadi kwa matajiri na wanasiasa au ni maskini pekee?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
879
4,124
Binadamu akikosea nguvu za asili za kiume au kike anakosa pia nguvu za asili za kufanya KAZI kwa tija na hivyo uzalishaji kwenye TAIFA ushuka.

Tanzania tumekuwa na wananchi wenye changamoto ya nguvu za kiume na kike. Kuthibitisha au kupata ukweli angalia mabango ya tiba asili, angalia pharmacy, angalia hata hospitali kubwa kila daktari na wanaoitwa wataalumu wanachunguza nguvu au wanatibu nguvu zinazosadikiwa zimepungua.

Changamoto hii inakwenda mbali zaidi kwa Sababu inapelekea watu wengi kutumia akili zao kujihoji kama nguvu walizonazo zinatosha au hazitoshi. Wanapotaka kujiridhisha wanalazimika kuwekeza nguvu nyingi kwenye kutongoza na kufanya mapenzi. Katika kutekeleza mpango huu wa zinaa, muda mwingi unapotezwa kwenye zinaa kuliko uzalishaji na hivyo Taifa linaendelea kudidimia kiuchumi.

Kwa wale wachache waliofanikiwa pia nao wanatumia rasilimali nyingi kuzini wakiamini wanapozini Sana ndivyo wanafanya majaribio kama wapo fiti. Kwa kuwa wanafedha inabida wanapozini nao wawajenge kisaikologia kwamba nguvu zipo fresh, lakini zinaa ina tabia ya kutodumu sana hivyo wenye fedha wengi badala wawaze uwekezaji mkubwa WANAWAZA kuzini.

Angali wabunge wengi pesa wanaipeleka wapi? Angalia viongozi waandamizi pesa wanaipeleka wapi? Kwa Sababu Tu tumewekeza kupima kama nguvu zetu za kiume na kike zinatosha basi hata kusimamia sekta tulizopewa zinatushinda na hii imepelekea CAG kila akigusa akutane na uozo. Reson moja wapo ni kwamba mapenzi yamepewa nafasi kubwa nchini kuliko KAZI.

Waziri akiiba watu watakaa kimya, Ila akifumaniwa lazima atabemendwa na vyombo vya habari hadi ajiuzulu. Means Bora uibe tutakukalia kimya Ila siyo Kwa kukosa mbinu ukakamatwa lakini tutashindwa kukuvumilia ukifumaniwa kwa Sababu we are expert on that.

Kwa ngonjera hizi, ni lini tutamua kuachana na utaftaji wa nguvu za kiume tutafute utajiri kama Taifa? Lini tutapata viongozi serious watakaosema Bora ufumaniwe lakini siyo ubainike kuiba Mali za umma?

Fedha nyingi zilizotajwa kwenye ripot ya CAG naamini zipo kwenye mizunguko wa kutest au kununua nguvu za kiume na kike means zipo kwenye zinaaaaaaaaaa. Walioiba walichofanya wamekwenda KUWAJENGEA maawara nyumba na kunywa hakuna serious investment inayoonekana.

Kwa wizi ule tulipaswa kuwa na serious companies ambazo WAMILIKI wamepata mtaji kwenye wizi at list kampuni hizo zingetoa ajiri, ila zinaa ajira yake ndogo sana.
 
Hili ni tatizo la masikini zaidi hasa wa mjini na uswahilini kwa sababu ndio hutumia muda wao mwingi kuwaza habari za ngono.
 
Binadamu akikosea nguvu za asili za kiume au kike anakosa pia nguvu za asili za kufanya KAZI Kwa tija na hivyo uzalishaji kwenye TAIFA ushuka.

Tanzania tumekuwa na wananchi wenye changamoto ya nguvu za kiume na kike. Kuthibitisha


au kupata ukweli angalia mabango ya tiba asili, angalia pharmacy, angalia hata hospitali kubwa kila daktari na wanaoitwa wataalumu wanachunguza nguvu au wanatibu nguvu zinazosadikiwa zimepungua.

Changamoto hii inakwenda mbali zaidi Kwa Sababu inapelekea watu wengi kutumia akili zao kujihoji kama nguvu walizonazo zinatosha au hazitoshi. Wanapotaka kujiridhisha wanalazimika kuwekeza nguvu nyingi kwenye kutongoza na kufanya mapenzi. Katika kutekeleza mpango huu WA zinaa, muda mwingi unapotezwa kwenye zinaa kuliko uzalishaji na hivyo Taifa linaendelea kudidimia kiuchumi.

Kwa wale wachache waliofanikiwa pia nao wanatumia rasilimali nyingi kuzini wakiamini wanapozini Sana ndivyo wanafanya majaribio kama wapo fiti. Kwa kuwa wanafedha inabida wanapozini nao wawajenge kisaikologia kwamba nguvu zipo fresh....lakini zinaa inatabia ya kutodumu Sana hivyo wenye fedha wengi badala wawaze uwekezaji mkubwa WANAWAZA kuzini.

Angali wabunge wengi pesa wanaipeleka wapi? Angalia viongozi waandamizi pesa wanaipeleka wapi? Kwa Sababu Tu tumewekeza kupima kama nguvu zetu za kiume na kike zinatosha basi hata kusimamia sekta tulizopewa zinatushinda na hii imepelekea CAG kila akigusa akutane na uozo. Reson moja wapo NI kwamba mapenzi yamepewa nafasi kubwa nchini kuliko KAZI.

Waziri akiiba watu watakaa kimya, Ila akifumaniwa lazima atabemendwa na vyombo vya habari Hadi ajiuzulu. Means Bora uibe tutakukalia kimya Ila siyo Kwa kukosa mbinu ukakamatwa lakini tutashindwa kukuvumilia ukifumaniwa Kwa Sababu we are expert on that.....

Kwa ngonjera hizi, NI lini tutamua kuachana na utaftaji WA nguvu za kiume tutafute utajiri kama Taifa? Lini tutapata viongozi serious watakaosema Bora ufumaniwe lakini siyo ubainike kuiba Mali za umma?

Fedha nyingi zilizotajwa kwenye ripot ya CAG naamini zipo kwenye mizunguko wa kutest au kununua nguvu za kiume na kike means zipo kwenye zinaaaaaaaaaa. Walioiba walichofanya wamekwenda KUWAJENGEA maawara nyumba na kunywa hakuna serious investment inayoonekana.....


Kwa wizi ule tulipaswa kuwa na serious companies ambazo WAMILIKI wamepata mtaji kwenye wizi at list kampuni hizo zingetoa ajiri.....Ila zinaa ajira yake ndogo Sana.


Tatizo la nguvu za kiume mara nyingi ni damu na mishipa tu kwasababu kama za sukari tafuta hizi vitamins zinarekebisha
 

Attachments

  • 62533D5E-FC86-4154-BD81-D0A16628360C.jpeg
    62533D5E-FC86-4154-BD81-D0A16628360C.jpeg
    68.4 KB · Views: 9
Binadamu akikosea nguvu za asili za kiume au kike anakosa pia nguvu za asili za kufanya KAZI Kwa tija na hivyo uzalishaji kwenye TAIFA ushuka.

Tanzania tumekuwa na wananchi wenye changamoto ya nguvu za kiume na kike. Kuthibitisha au kupata ukweli angalia mabango ya tiba asili, angalia pharmacy, angalia hata hospitali kubwa kila daktari na wanaoitwa wataalumu wanachunguza nguvu au wanatibu nguvu zinazosadikiwa zimepungua.

Changamoto hii inakwenda mbali zaidi Kwa Sababu inapelekea watu wengi kutumia akili zao kujihoji kama nguvu walizonazo zinatosha au hazitoshi. Wanapotaka kujiridhisha wanalazimika kuwekeza nguvu nyingi kwenye kutongoza na kufanya mapenzi. Katika kutekeleza mpango huu WA zinaa, muda mwingi unapotezwa kwenye zinaa kuliko uzalishaji na hivyo Taifa linaendelea kudidimia kiuchumi.

Kwa wale wachache waliofanikiwa pia nao wanatumia rasilimali nyingi kuzini wakiamini wanapozini Sana ndivyo wanafanya majaribio kama wapo fiti. Kwa kuwa wanafedha inabida wanapozini nao wawajenge kisaikologia kwamba nguvu zipo fresh....lakini zinaa inatabia ya kutodumu Sana hivyo wenye fedha wengi badala wawaze uwekezaji mkubwa WANAWAZA kuzini.

Angali wabunge wengi pesa wanaipeleka wapi? Angalia viongozi waandamizi pesa wanaipeleka wapi? Kwa Sababu Tu tumewekeza kupima kama nguvu zetu za kiume na kike zinatosha basi hata kusimamia sekta tulizopewa zinatushinda na hii imepelekea CAG kila akigusa akutane na uozo. Reson moja wapo NI kwamba mapenzi yamepewa nafasi kubwa nchini kuliko KAZI.

Waziri akiiba watu watakaa kimya, Ila akifumaniwa lazima atabemendwa na vyombo vya habari Hadi ajiuzulu. Means Bora uibe tutakukalia kimya Ila siyo Kwa kukosa mbinu ukakamatwa lakini tutashindwa kukuvumilia ukifumaniwa Kwa Sababu we are expert on that.....

Kwa ngonjera hizi, NI lini tutamua kuachana na utaftaji WA nguvu za kiume tutafute utajiri kama Taifa? Lini tutapata viongozi serious watakaosema Bora ufumaniwe lakini siyo ubainike kuiba Mali za umma?

Fedha nyingi zilizotajwa kwenye ripot ya CAG naamini zipo kwenye mizunguko wa kutest au kununua nguvu za kiume na kike means zipo kwenye zinaaaaaaaaaa. Walioiba walichofanya wamekwenda KUWAJENGEA maawara nyumba na kunywa hakuna serious investment inayoonekana.....


Kwa wizi ule tulipaswa kuwa na serious companies ambazo WAMILIKI wamepata mtaji kwenye wizi at list kampuni hizo zingetoa ajiri.....Ila zinaa ajira yake ndogo Sana.
Hili tatzo lina vyanzo vingi lakina lakin vyanzo vikuu vya hili tatzo ni;

*Kuwa na stress za muda mrefu

*Kutokula vizur apa simahanish mafuta apana namahanisha kula vyakula stahiki tena kwa kushiba kabsa

*Kuto kupata muda wa kupumzika

* Matumiz mabata ya mitandao

*njia za uzazi wa mpango

Sababu n nying but ukiweza kuz mantain hzo nafkr shida itapungua kwa kasi sana na vjana wapunguze kukamia
 
wote wanaenda sawa tu. masikini wengi wanaweza kuwa na tatizo hilo kwasababu ya lishe mbovu, hawana chakula cha kutosha, though kwa upande mwingine ile kuwa sio wanene inakuwa advantage kwao pia dhidi ya wenzao matajiri.

ukija kwa matajiri, wengi nguvu zinawaishia kwasababu ya unene wa miili, stress na mawazo, na uchovu wa kufanya kazi kwenye miili isiyofanya mazoezi. though kwa upande mwingine wale wanaojitambua, wanakuwa hawana shida kwasababu wanakula vizuri chochote wapendacho na wanafanya mazoezi, na wengine akili zimetulia hawana stress za kutafuta au kukosa pesa.
 
wapi zinapatikanwa?
ulizia hawa zinafanya kazi ku repair mishipa ya damu. Kidonge kimoja kwa siku ni vitamin lakini nashauri utumie mchana maana inaweza kukuletea matatizo ya usingizi.

 
Binadamu akikosea nguvu za asili za kiume au kike anakosa pia nguvu za asili za kufanya KAZI kwa tija na hivyo uzalishaji kwenye TAIFA ushuka.

Tanzania tumekuwa na wananchi wenye changamoto ya nguvu za kiume na kike. Kuthibitisha au kupata ukweli angalia mabango ya tiba asili, angalia pharmacy, angalia hata hospitali kubwa kila daktari na wanaoitwa wataalumu wanachunguza nguvu au wanatibu nguvu zinazosadikiwa zimepungua.

Changamoto hii inakwenda mbali zaidi kwa Sababu inapelekea watu wengi kutumia akili zao kujihoji kama nguvu walizonazo zinatosha au hazitoshi. Wanapotaka kujiridhisha wanalazimika kuwekeza nguvu nyingi kwenye kutongoza na kufanya mapenzi. Katika kutekeleza mpango huu wa zinaa, muda mwingi unapotezwa kwenye zinaa kuliko uzalishaji na hivyo Taifa linaendelea kudidimia kiuchumi.

Kwa wale wachache waliofanikiwa pia nao wanatumia rasilimali nyingi kuzini wakiamini wanapozini Sana ndivyo wanafanya majaribio kama wapo fiti. Kwa kuwa wanafedha inabida wanapozini nao wawajenge kisaikologia kwamba nguvu zipo fresh, lakini zinaa ina tabia ya kutodumu sana hivyo wenye fedha wengi badala wawaze uwekezaji mkubwa WANAWAZA kuzini.

Angali wabunge wengi pesa wanaipeleka wapi? Angalia viongozi waandamizi pesa wanaipeleka wapi? Kwa Sababu Tu tumewekeza kupima kama nguvu zetu za kiume na kike zinatosha basi hata kusimamia sekta tulizopewa zinatushinda na hii imepelekea CAG kila akigusa akutane na uozo. Reson moja wapo ni kwamba mapenzi yamepewa nafasi kubwa nchini kuliko KAZI.

Waziri akiiba watu watakaa kimya, Ila akifumaniwa lazima atabemendwa na vyombo vya habari hadi ajiuzulu. Means Bora uibe tutakukalia kimya Ila siyo Kwa kukosa mbinu ukakamatwa lakini tutashindwa kukuvumilia ukifumaniwa kwa Sababu we are expert on that.

Kwa ngonjera hizi, ni lini tutamua kuachana na utaftaji wa nguvu za kiume tutafute utajiri kama Taifa? Lini tutapata viongozi serious watakaosema Bora ufumaniwe lakini siyo ubainike kuiba Mali za umma?

Fedha nyingi zilizotajwa kwenye ripot ya CAG naamini zipo kwenye mizunguko wa kutest au kununua nguvu za kiume na kike means zipo kwenye zinaaaaaaaaaa. Walioiba walichofanya wamekwenda KUWAJENGEA maawara nyumba na kunywa hakuna serious investment inayoonekana.

Kwa wizi ule tulipaswa kuwa na serious companies ambazo WAMILIKI wamepata mtaji kwenye wizi at list kampuni hizo zingetoa ajiri, ila zinaa ajira yake ndogo sana.
Nasoma comment 🤓
 
Tanzania tumekuwa na wananchi wenye changamoto ya nguvu za kiume na kike. Kuthibitisha au kupata ukweli angalia mabango ya tiba asili, angalia pharmacy, angalia hata hospitali kubwa kila daktari na wanaoitwa wataalumu wanachunguza nguvu au wanatibu nguvu zinazosadikiwa zimepungua.
1681825520780.png
 
Back
Top Bottom