Uprofesa wa Lipumba unaleta walakini!

Huyu yupo profesional zaidi, kwenye siasa anatumiwa tu na wanasiasa kama Maalim Seif, huyu anapaswa arudi kwenye fani yake PERIOD.

Angetusaidia sana kama angerudi Darasani kufundisha, Chuo kikuu cha Kiislam Morogoro kinahitaji wasomi wa kukisaidia
 
Angetusaidia sana kama angerudi Darasani kufundisha, Chuo kikuu cha Kiislam Morogoro kinahitaji wasomi wa kukisaidia

Kweli kabisa. Kwa maana kama yeye amebobea basi atusaidie kuzalisha vijana wengine walobobea kwenye uchumi. Nadhani hilo litakua na tija zaidi kwa Tanzania yetu
 
Kweli kabisa. Kwa maana kama yeye amebobea basi atusaidie kuzalisha vijana wengine walobobea kwenye uchumi. Nadhani hilo litakua na tija zaidi kwa Tanzania yetu

Anachokifanya kwa sasa ni zaidi ya kukaa darasani, vitu vyake anavyotoa vinasomeshwa na vinafatwa na vyuo vingi duniani. Umeona mlolongo wa papers zake?

Unafikiri utapewa uenyekiti wa wachumi duniani bila kuwa na vitu vya uhakika?
 
Anachokifanya kwa sasa ni zaidi ya kukaa darasani, vitu vyake anavyotoa vinasomeshwa na vinafatwa na vyuo vingi duniani. Umeona mlolongo wa papers zake?

Unafikiri utapewa uenyekiti wa wachumi duniani bila kuwa na vitu vya uhakika?

Manufaa kwa nani? Mi naongelea awanufaishe wanafunzi wa kitanzania.
 
Hizo publications tu, ni tosha bila kuonesha shahada zake. Ni msomi wa haja.

Tunaomba na za Mwenyekiti wa CHADEMA. kwi kwi kwi kwi, teh teh teh!

....hapo kwenye presidential candidate naona kataja 1995 na 2000 tu! kama mkono unauma kuandika miaka yote angesummarize tu kwa kusema "Presidential candidate from birth of CUF until its/his death" just like his Secretary Maalim Seif Hamadi. This also applies for their positions as party Chairman and secretary respectively.
 
Huyu ndo prof wa ukweli hiyo cv tu inatosha umwamkie.Kama umeenda shule Nadhani mzigo aliyokuwa nacho kichwani unafaa ufunge domo lako
 
....hapo kwenye presidential candidate naona kataja 1995 na 2000 tu! kama mkono unauma kuandika miaka yote angesummarize tu kwa kusema "Presidential candidate from birth of CUF until its/his death" just like his Secretary Maalim Seif Hamadi. This also applies for their positions as party Chairman and secretary respectively.

Hivi ni yeye tu anayeweza kuwa mwenyekiti wa CUF na kugombea urais wa JMT kwa tiketi ya CUF? Demokrasia iko wapi?
 
habari yako!unahoji uprofesa wa lipumba,mbona unaonekana upo out of date,coz dunia inamtambua iweje wewe umtilie mashaka,kweli uongozi hausomewi but kumbuka kuwa huko nje alikokuwa kwenye kikao yeye alikuwa ndo mwenye kiti wa jopo la wataam wa uchumi duniani.
 
Huyu ndo prof wa ukweli hiyo cv tu inatosha umwamkie.Kama umeenda shule Nadhani mzigo aliyokuwa nacho kichwani unafaa ufunge domo lako

1. Punguza jazba.

2. Naheshimu uprofesa wake na nadhani taaluma yake itatusaidia kama akirudi nchini na kuwa mchumi mkuu au labda afundishe vijana waje kutusaidia katika nyanja hiyo.

3. Situmii mdomo hapa. Naandika kwa mikono!

4. Kama unashindwa kuheshimu uhuru wa maoni wa wenzio hustahili kuchangia hapa. Hujalazimishwa.

5. Nina uhuru wa kupost chochote ili mradi sijavunja sheria za JF.

6. Ahsante kwa kusoma. Ok,bye!
 
Nauliza hivi: Robert Mugabe ana digrii ngapi vile? twasikia ana sita, zikiwemo mbili za mambo ya uchumi! Tazameni alikoipeleka nchi yake kiuchumi - inflation 1m percent!
 
Jambo moja la msingi: UONGOZI HAUSOMEWI!

Kwahivyo ndugu zangu, kama mnataka kunishawishi nimchague Prof. Lipumba kwenye kinyang'anyiro cha Urais mwaka 2015, naomba mnipe hoja nzito zaidi ya uprofesa wake katika uchumi. Nawasilisha.


Ukitaka kuhakikisha ukweli wa hili, angalia jinsi ma Prof wanavyoboronga kwenye uongozi wa vyuo vikuuu!

Ni aibu tupu.

Winston Churchill, the Britsh PM during the 2nd WW, was not even the graduate, but boosted the morale of his country men and women to stand up and fight Hitler.

Nakumbuka Ghana iliwahi kuwa na Rais aliyekuwa Prof na akaweka ma Prof wenzake kama mawaziri.
It was a disaster.
 
habari yako!unahoji uprofesa wa lipumba,mbona unaonekana upo out of date,coz dunia inamtambua iweje wewe umtilie mashaka,kweli uongozi hausomewi but kumbuka kuwa huko nje alikokuwa kwenye kikao yeye alikuwa ndo mwenye kiti wa jopo la wataam wa uchumi duniani.

Naomba usome vizuri mada alafu uchangie tena. Ahsante!
 
Hakuna watu wanaopinga usomi wa Lipumba, ila nadhani kuna vitu vinabidi viwekwe sawa. Prof. Lipumba alipokuwa marekani kwa takribani miezi mitano hakwenda kwenye jopo la wana uchumi kama vyombo vingi vya habari vilivyotangaza bali walikuwa wanachambua mambo ya demokrasia katika nchi mbali mbali; uchumi ni subset ndogo sana katika wale waliyozungumzia. Pia ningependa kujua PhD yake ya Stanford, ingwaje thesis ni ya kiuchumi, ila alikuwa kwenye Dept ya Agriculture na sio Dept ya Economics.


[SIZE=-1]Foreign Exchange and Economic Development in Tanzania [/SIZE]
[COLOR=#80000][SIZE=-1]Lipumba [/SIZE][/COLOR] [COLOR=#80000][SIZE=-1]Nguyuru [/SIZE][/COLOR] [SIZE=-1]1983 [/SIZE][SIZE=-1]Senior Lecturer, Economics Department, University of Dar-es-Salaam, Tanzania [/SIZE][SIZE=-1]- [/SIZE]
 
Nimeomba kupewa hoja ya kumsupport prof kama mgombea wenu 2015 (tuache masuala ya kubobea kwenye uchumi pembeni). Ningependa kusikia mengine wadau
 
Hakuna watu wanaopinga usomi wa Lipumba, ila nadhani kuna vitu vinabidi viwekwe sawa. Prof. Lipumba alipokuwa marekani kwa takribani miezi mitano hakwenda kwenye jopo la wana uchumi kama vyombo vingi vya habari vilivyotangaza bali walikuwa wanachambua mambo ya demokrasia katika nchi mbali mbali; uchumi ni subset ndogo sana katika wale waliyozungumzia. Pia ningependa kujua PhD yake ya Stanford, ingwaje thesis ni ya kiuchumi, ila alikuwa kwenye Dept ya Agriculture na sio Dept ya Economics.


[SIZE=-1]Foreign Exchange and Economic Development in Tanzania [/SIZE]
[COLOR=#80000][SIZE=-1]Lipumba [/SIZE][/COLOR] [COLOR=#80000][SIZE=-1]Nguyuru [/SIZE][/COLOR] [SIZE=-1]1983 [/SIZE][SIZE=-1]Senior Lecturer, Economics Department, University of Dar-es-Salaam, Tanzania [/SIZE][SIZE=-1]- [/SIZE]

Ahsante kwa ufafanuzi mkuu. Wengine tukaambiwa kaajiriwa IMF kabisa!
 
Lipumba anaweza kuwa Rais wa misikiti tu na sio Rais wa nchi, huu ndio ukweli mchungu unaopaswa kuulewa & spread this msg kwa shura ya Maimamu.

Wee kweli akili yako ni kama ng'ombe habari za udini zimekuja kufanya nini hapa?mjadili mtu usilete udini paka shume weee!!!
 
Back
Top Bottom