Uprofesa wa Lipumba unaleta walakini!

Mbona sijaona mshauri wa uchumi kwa Rais Mseveni ambayo huwa inatajwa sana tu
 
Hii hapa chini ndio mission statement ya NED. NGO ambayo Lipumba alifanya nao kazi kwa takribani miezi mitano, nimetafuta neno uchumi kaika hiyo mission statement lakini sikuliona. Sasa watu wanaposema alikuwa akitafakari maswala ya uchumi , sijui wanapata wapi hizi habari.

"The National Endowment for Democracy (NED)
is a private, nonprofit foundation dedicated to the growth and strengthening of democratic institutions around the world. Each year, with funding from the US Congress, NED supports more than 1,000 projects of non-governmental groups abroad who are working for democratic goals in more than 90 countries."
 
Manufaa kwa nani? Mi naongelea awanufaishe wanafunzi wa kitanzania.

Wanafunzi wa Kitanzania wanafaidika kwa sana tu na wengine zaidi wanaweza kufaidika kwa sana wakimfata. Ulishaenda kwake au ulimwandikia ukataka ushauri wa kiuchumi akakutolea nje?

Anasaidia wanafunzi wa dunia nzima na anasimamia thesis nyingi tu za wanafunzi wa duniani na kwa sasa anasimamia wachumi wote wa duniani. Huoni kuwa ni sifa hiyo kuwa na mtanzania mwenye kipaji hicho?
 
1. Punguza jazba.

2. Naheshimu uprofesa wake na nadhani taaluma yake itatusaidia kama akirudi nchini na kuwa mchumi mkuu au labda afundishe vijana waje kutusaidia katika nyanja hiyo.

3. Situmii mdomo hapa. Naandika kwa mikono!

4. Kama unashindwa kuheshimu uhuru wa maoni wa wenzio hustahili kuchangia hapa. Hujalazimishwa.

5. Nina uhuru wa kupost chochote ili mradi sijavunja sheria za JF.

6. Ahsante kwa kusoma. Ok,bye!
Kabisaa! Hasira ni ukilaza wa namna ya kuchangia mijadara wa watu wanaotoa hoja za msingi. Mtu ashinde kwa hoja nzito na siyo mahasira yake. Issue hapa ni uprofesa wa lipumba unatusaidiaje watanzania? Siyo mpaka tumruhusu kwenda ikulu.
 
Yeye ni kichwa kwenye specialisation yake ya uchumi, huwezi kumlinganisha na mtu aliyespecialise vitu vingine tofauti, kama kumlinganisha na Dr Slaa. Nenda hata Muhimbili ukaone maprofesa waliospecialise kwenye masuala ya utabibu na vitu walivyopublish kama utarudi kumuita kwamba ni kichwa cha Tanzania.
 
Kwa jinsi ambavyo ndugu zangu, wanachama na washabiki wa CUF wanavyoupamba uprofesa wa Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa CUF napatwa na shaka.

Sitaki kuamini kwamba uprofesa wa mtu ndio unampa kigezo cha kuwa na uwezo wa kuongoza watu au nchi. Lakini wenzetu wanataka tuamini hivyo.

Wanataka tuamini hakuna sifa nyingine inayoweza kumpiku mtu aliyebobea katika uchumi na pengine kufanya kazi na IMF.

Hii dhana inatuambia kitu kuhusu watu ama viongozi waliomo katika chama cha CUF. Inatuambia kitu kuhusu wanachama na washabiki wake. Ng'amua.

Jambo moja la msingi: UONGOZI HAUSOMEWI!

Kwahivyo ndugu zangu, kama mnataka kunishawishi nimchague Prof. Lipumba kwenye kinyang'anyiro cha Urais mwaka 2015, naomba mnipe hoja nzito zaidi ya uprofesa wake katika uchumi. Nawasilisha.

Mbona unachanganya mambo mengi kiasi hicho?
Jaribu kuwa na mpangilio. Lipumba anaweza kuwa hakufurahishi lakini shule yake muachie kabisa. Usimuchukie ukajikuta unaondoa hata sifa zake halali!

Una hakika Uongozi haosomewi?

Mbona hata hapa Tz tuna watu wamesomea uongozi? Tunavyo vyuo vya uongozi na digrii za uongozi zipo.

 
Huyu yupo profesional zaidi, kwenye siasa anatumiwa tu na wanasiasa kama Maalim Seif, huyu anapaswa arudi kwenye fani yake PERIOD.

Mkuu big up. Kwa kuthibitisha hilo CUF walikuwa na golden opportunity ya kumteua makamu wa raisi Zanzibar kufuatia muafaka wa kitaifa kama kweli wanamtukuza kwa kiwango hiki. Au tuseme "maalim" ni zaidi ya "profesa?"
 
Kwa jinsi ambavyo ndugu zangu, wanachama na washabiki wa CUF wanavyoupamba uprofesa wa Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa CUF napatwa na shaka.

Sitaki kuamini kwamba uprofesa wa mtu ndio unampa kigezo cha kuwa na uwezo wa kuongoza watu au nchi. Lakini wenzetu wanataka tuamini hivyo.

Wanataka tuamini hakuna sifa nyingine inayoweza kumpiku mtu aliyebobea katika uchumi na pengine kufanya kazi na IMF.

Hii dhana inatuambia kitu kuhusu watu ama viongozi waliomo katika chama cha CUF. Inatuambia kitu kuhusu wanachama na washabiki wake. Ng'amua.

Jambo moja la msingi: UONGOZI HAUSOMEWI!

Kwahivyo ndugu zangu, kama mnataka kunishawishi nimchague Prof. Lipumba kwenye kinyang'anyiro cha Urais mwaka 2015, naomba mnipe hoja nzito zaidi ya uprofesa wake katika uchumi. Nawasilisha.

Prof wa vitabu,
hajaweza kuanzisha kampuni akawa mwekezaji mkubwa.......

Mnafikiriaje kama angeweza kumiliki benki inayoinua uchumi vijijin na kuwanufAisha wengiiii.....

mnaonaje angemiliki kiwanda cha magari madogo LIPUMBA CAR DESIGN"""""

Kama hajafanya chochote kitu ....... shit"!! Profesa Njaaa..... wa vitabu"!!!!
 
Mbona unachanganya mambo mengi kiasi hicho?
Jaribu kuwa na mpangilio. Lipumba anaweza kuwa hakufurahishi lakini shule yake muachie kabisa. Usimuchukie ukajikuta unaondoa hata sifa zake halali!

Una hakika Uongozi haosomewi?

Mbona hata hapa Tz tuna watu wamesomea uongozi? Tunavyo vyuo vya uongozi na digrii za uongozi zipo.


Pole kama hujanielewa. Mantiki yangu ni kuwa hakuna haja ya kutilia mkazo elimu ya mtu ikiwa hatuoni vigezo vyake ambavyo vinapaswa kutupa imani kwamba anaweza kuongoza.
 
Wanafunzi wa Kitanzania wanafaidika kwa sana tu na wengine zaidi wanaweza kufaidika kwa sana wakimfata. Ulishaenda kwake au ulimwandikia ukataka ushauri wa kiuchumi akakutolea nje?

Anasaidia wanafunzi wa dunia nzima na anasimamia thesis nyingi tu za wanafunzi wa duniani na kwa sasa anasimamia wachumi wote wa duniani. Huoni kuwa ni sifa hiyo kuwa na mtanzania mwenye kipaji hicho?
Utagundua uwezo na elimu ya member kwa comments zake, comment kama hii eti anasimamia wachumi wote wa duniani dah!, anatumia ujinga wa watanzania kujijengea jina, inawezekana ndio maana wengi walijitokeza kumpokea, mara kumi kumpokea anayekwenda kutembeza bakuli kuliko huyu.
 
Utagundua uwezo na elimu ya member kwa comments zake, comment kama hii eti anasimamia wachumi wote wa duniani dah!, anatumia ujinga wa watanzania kujijengea jina, inawezekana ndio maana wengi walijitokeza kumpokea, mara kumi kumpokea anayekwenda kutembeza bakuli kuliko huyu.

Hahaha. :lol:
 
Back
Top Bottom