Upotoshaji wa Gazeti la Mwananchi kuhusu Mtatiro

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,208
103,782
Gazeti limeandika mengi kuhusu Mtatiro kukubali makubaliano ya UKAWA kuiachia Chadema jimbo la Segerea.Mwisho limeandika eti Julius ameamua kukaa pembeni na kuacha siasa.Mbinu za baadhi ya waandishi wa habari kuandika vibaya mambo ya UKAWA ni za kitoto.JF inazo kumbukumbu kuwa Julius alikubaliana na maamuzi na akasisitiza Ushindi wa Chadema ni Ushindi wa wote
 
Acha akili za kijanga huwezi kumlinganisha mama majamzito na hizo fikra zako potofu kama huna point za kuchangia kaa kimiya
 
Acha akili za kijanga huwezi kumlinganisha mama majamzito na hizo fikra zako potofu kama huna point za kuchangia kaa kimiya

Yeye karipoti kilichoandikwa gazetini, kumuogesha matusi yote haya ni kumtendea haki? Gamba jinga ww!
 
Kama Mtatiro alijiandaa kupeperusha wana ukawa wote jimbo la Segerea kwa muda mrefu nini kimetokea mpaka akubali kuliachia Chadema? Je yeye anakwenda kugombea jimbo gani?
 
Hoja kwakweli hapa haipo Mtatiro hajawatangazia kuondoka Ukawa, name Ukawa wanaomfumo wao wa kugawiana majimbo sio vibaya kama wamekubaliana Mtatiro kutogombea jimbo la segerea labda wamepata mgombea mzuri zaidi.
 
Gazeti limeandika mengi kuhusu Mtatiro kukubali makubaliano ya UKAWA kuiachia Chadema jimbo la Segerea.Mwisho limeandika eti Julius ameamua kukaa pembeni na kuacha siasa.Mbinu za baadhi ya waandishi wa habari kuandika vibaya mambo ya UKAWA ni za kitoto.JF inazo kumbukumbu kuwa Julius alikubaliana na maamuzi na akasisitiza Ushindi wa Chadema ni Ushindi wa wote

Mwishowe mtaonekana mna mtindio wa ubongo.

1. Dr Slaa
2. Prof Lipumba
3. Polepole
4. Dr Bana
5. Manyerere
6. Raia Tanzania
7. Uhuru
8. Raia Mwema
9. Mwananchi
10...........

Wote hao wana kosa moja tu, kusema ukweli bila chembe ya unafiki. Sasa wamegeuka kuwa maadui wa wafuasi wa fisadi
 
Zipo tetesi kuwa Dk Slaa anataka kugombea ubunge jimbo la Segerea, huenda ndio sababu ya Julius Mtatiro kuamua kuliachia
 
Gazeti limeandika mengi kuhusu Mtatiro kukubali makubaliano ya UKAWA kuiachia Chadema jimbo la Segerea.Mwisho limeandika eti Julius ameamua kukaa pembeni na kuacha siasa.Mbinu za baadhi ya waandishi wa habari kuandika vibaya mambo ya UKAWA ni za kitoto.JF inazo kumbukumbu kuwa Julius alikubaliana na maamuzi na akasisitiza Ushindi wa Chadema ni Ushindi wa wote

Mtatiro kuwa mwenyekiti cuf.
 
Mwishowe mtaonekana mna mtindio wa ubongo.

1. Dr Slaa
2. Prof Lipumba
3. Polepole
4. Dr Bana
5. Manyerere
6. Raia Tanzania
7. Uhuru
8. Raia Mwema
9. Mwananchi
10...........

Wote hao wana kosa moja tu, kusema ukweli bila chembe ya unafiki. Sasa wamegeuka kuwa maadui wa wafuasi wa fisadi

Ukweli gani kama sio upumbavu tu na uchonganishi kwani ujaona FB na Hapa JF mtatiro amesema nn??? Ama nawe umekuwa gamba
 
Mwishowe mtaonekana mna mtindio wa ubongo.

1. Dr Slaa
2. Prof Lipumba
3. Polepole
4. Dr Bana
5. Manyerere
6. Raia Tanzania
7. Uhuru
8. Raia Mwema
9. Mwananchi
10...........

Wote hao wana kosa moja tu, kusema ukweli bila chembe ya unafiki. Sasa wamegeuka kuwa maadui wa wafuasi wa fisadi

kula likes 1000. haiwezekani kila anayesema ukweli kanunuliwa,kahongwa,kaweka mfukoni,ana njaa kali na kila jina baya. hivi kweli huyu lowasa ambaye ni ukakasi kwa nchi toka 1995 leo mnamtetea hivi? hakika mwashangaza sana masheikhe
 
Ila mimi ningependa kujua kwa nini sio Mtatiro tena?
Au apewe jimbo jingine.
ni ushauri tuu
 
Unalaana kulinganisha mambo hayo na mama mjamzito siku si nyingi utaokota makopo na kutafuta mchawi wewe uliokotwa
 
namheshimu sana mtatiro anajua anachofanya na anakifanya sawia-kujiuzulu na kwenda kusoma ni busara kubwa kuliko kupayuka bila shule-anafaa kuingoza cuf rifaa maneno ya Hamadi
 
Ila chadema wakimsimamisha makongoro nyerere hapati kitu pale
 
Back
Top Bottom