tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,115
Kuna watu mpo jf kuongeza siku ZA watu,Alikuwa anamaanisha upinzani unakua kwa kasi kila kona ya nchi hii. Ni bahati mbaya kwamba mdomo wake hauna mawasiliano mazuri na ubongo wake. Anachowaza sio anachokisema. Anayo matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa hiyo isengekuwa rahisi aseme hivyo. Hayuko sawa kichwani!
Kiukweli umenifurahisha!!
Hamna akili mle!!