Updates: Zoezi la kupiga kura - Arumeru East

Status
Not open for further replies.
Nimekusika Padri! Halafu chama chenu kikihusishwa na Kanisa mnakasirika!

Rejao uwe unatumia akili japo kidogo,kwa hiyo MUNGU ni wa wakristo peke yao?na waisilam wanamuabudu nani?usiwe kichekesho mbele ya umma.
 
Imegundulika kwamba vijana wengi hawajashiriki kwenye upigaji kura huko Arumeru na kuonekana kuwa idadi kubwa ya waloshiriki wengi wao ni wazee na watu wazima na kufanya baadhi ya vituo hata walopiga kura washindwe kufikia nusu idadi ya waliojiandikisha"

My take: Suala la vijana kushiriki kwa bidii kwenye kampeni na kutoshiriki zoezi la kupiga kura ni moja ya sababu ya migogoro kwa matokeo ya uchaguzi, umefika wakati vijana wapewe elimu sahih juu ya umuhimu wa kutekeleza haki yao hii ya msingi.

we are used and so much fade up with that magamba propaganda.
 
Dr kupeng'e kalale tu,hayo matokeo yako ya kikanjanja sana,sioi hawezi shinda hata kidogo.
 
Kwani Kanisa tu ndio lina Mungu??? Misikiti haina..? This is too low, Mr Rejao.
Wewe umerukia tu, nimemjibu padre comment yake. Anajiita Rev, na yupo upande wa CDM! Nachoamini mimi kiongozi wa dini hatakiwi ajishughulishe na mambo ya siasa!!! Nimeatack his personality and not his comment!! Think big bro!!
 
Bado mpira uko uwanjani,dakika zinazidi kwenda!just a few hours,result wil be out!Tulianza na mungu,tumemaliza na mungu!Mungu ibariki cdm.
 
Mumemsikia kutoka kwa huyo mama hapo ITV? Anasema watu wamejitokeza sana sana sana...kwa uzoefu wake hii ni tofauti na siku zilizopita ambapo watu huwa hawajitokezi. Anasema vituo vilikuwa Lively, yaani watu wanakuja mfululizo non-stop tangu asubuhi mpaka vituo vinafungwa
 
Rejao uwe unatumia akili japo kidogo,kwa hiyo MUNGU ni wa wakristo peke yao?na waisilam wanamuabudu nani?usiwe kichekesho mbele ya umma.
kwani Mungu ni kanisa?
Jibu lenu hili hapa chini! Turudi Arumeru wakuu!
Wewe umerukia tu, nimemjibu padre comment yake. Anajiita Rev, na yupo upande wa CDM! Nachoamini mimi kiongozi wa dini hatakiwi ajishughulishe na mambo ya siasa!!! Nimeatack his personality and not his comment!! Think big bro!!
 
Wewe umerukia tu, nimemjibu padre comment yake. Anajiita Rev, na yupo upande wa CDM! Nachoamini mimi kiongozi wa dini hatakiwi ajishughulishe na mambo ya siasa!!! Nimeatack his personality and not his comment!! Think big bro!!


criteria ganyi zinaku-guide kum-judge mtu kuwa ni wa chadema, especially kupitia kwenye mtandao kama hivi? think big bro!
 
Zipuuzeni propaganda zinazoendelea hivi punde kuwa VIJANA hawajajitokeza kupiga kura, ukweli ni kuwa vijana wamejitokeza kwa wingi #Arumeru
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom