Hatupo. Usiogope ukiwa mwenyewe.Ohoooo jaman mpo???naona kimezidi
Kwani kuandika kwa herufi ndogo huwezi? Bora Hidaya akuchukue tu.SAA TISAAA KIMEKUJA KAMA KINATAKA KUTUFIKISHA KWA BABA IKABIDI TUPIGE MAOMBI NA SHEMEJI YENU YA BACK TO SENDER SASA HIVI NAONA NDIO KOMAKNGEZEKA JAMAN UWIII
SIMU HAIRUHUSU UNAWEZA BADILISHA KWAKO YAWE HERUFI NDOGOKwani kuandika kwa herufi ndogo huwezi? Bora Hidaya akuchukue tu.
Utabiri wa yule nabii Boniface unatimia nini!? Alitabiri kuwa Dar huenda ikachakazwa vibaya kati ya mwezi wa nne ama tano. Alipata maono kuhusu huyu Hidaya nini?Ohoooo jaman mpo???naona kimezidi
Mapemaa tuwashachukua umeme wao
Nawaza wavvuvi walivyoteseka leo na bei za samaki za leoo wale tusiokulà nyama lohUpepo ni mkali sana mwambao.. baharini sipati picha kutakavyokua kumechafuka..
Kwenye comment yangu hiyo kuna sehemu nimetaja Tsunami?Ulisema hamna tsunami, manabii waongo, sasa unajificha nn?
Waseme au warudie??? Mbona wameshasema tayari?Watasema ni hitilafu kwenye grid tanesco ni mbuzi kabisa
Lala mrembo.... Punguza hofu.Ohoooo jaman mpo???naona kimezidi
View: https://youtu.be/8dPQrIPxqnA?si=R-xT9ORS2CpG9jf1
Angalieni video hiyo kuona mfano wa speed (kasi ya upepo huo) kulingana na kesho kitakuja na speed kati ya 75km/h hadi 100km/h
Sio video halisi ni mfano wa kuonyesha nguvu ya upepo katika units zake za m/s au km/h
View: https://youtu.be/8dPQrIPxqnA?si=R-xT9ORS2CpG9jf1
Angalieni video hiyo kuona mfano wa speed (kasi ya upepo huo) kulingana na kesho kitakuja na speed kati ya 75km/h hadi 100km/h
Sio video halisi ni mfano wa kuonyesha nguvu ya upepo katika units zake za m/s au km/h