Live coverage on JamiiForums
Inaenda
View attachment 2980723Dar Imesalimika-Morogoro Hidaya ataishia kwenye safu ya Milima ya Ulugulu karibu na Mgeta- hili eneo lipo mbele ya ile milima inayoonekana kama upo Maeneo ya Mzumbe! Ni 100% safu ya milima ya Uluguru. Kuna vijiji kadhaa lakini ni milima mitupu so athari azitokuwa Kubwa. Tanzania tuna kila sababu ya Kumshukuru Mungu.Asbh ilikuwa inaonekana kuwa Hidaya angeishia Lushoto Milimani! Hivyo kwa Tanzania Hidaya ilionekana mapema ataishia milimani🙏
Kinaenda kubeba mijoka ya kule milimani iipeleke kuzimu, mkiwa karibu mtasikia minyororo inatoa sauti
 
Daah Mungu awanusuru ndugu zetu...hiko mimbuka kimetuletea tuu upepo na baridi kanda ya kati..
 
Kinakuja MOROGORO
Screenshot_20240504-194347.jpg
 
Siku ya jana Kanisa la wasabato mafia limebomolewa na kimbunga cha hidaya

Screenshot_20240504-234025_Instagram.jpg



Siku ya jana pia mvua zimebomoa msikiti saudi arabia

Screenshot_20240504-234316_Firefox.jpg



Binafsi najiuliza Mungu mwenye nguvu mbona hazilindi nyumba zake za ibada.

Maana ninaamini yeye ni Muweza wa yote na mjuzi wa yote hata mvua na vimbunga anazileta yeye mwenyewe.

Kuruhusu zibomoke anatupa maswali waumini ambao tunamtegemea yeye atulinde
 
Miungu Iko mingi sana Kuna Mungu wa wasabato,Mungu wa Wakristo,Mungu wa waislamu nk Havari ya huo msikiti kaulize Mungu wa waislamu au waislamu wenyewe na kuhusu Hilo Kanisa la wasabato kamuulize Mungu wa wasabato au wasabato wenyewe ndio watakuwa na majibu ya hiyo miungu Yao kushindwa kazi
Miungu Wengine dini zingine haikushindwa kazi
 
Mmeanza tena na nyuzi zenu zakumchafua na kumdhihaki MUNGU....😡😡😡😠😠😠
 
Hizo mindset za kusema nyumba za Mungu ni majengo ni za kijinga sana,
Kama wewe ni mtu unaejua maswala spiritual lazima uelewe mafundisho ya Yashua Amashiach Mnazarene
(Jesus Christ of Nazareth)
Aliposema hekalu la Mungu ni mtu na Sio jengo sijui kwanini hua hamuelewi hii concept ya Uungu nyie black minded people!
 

Attachments

  • 1713261577843.jpg
    1713261577843.jpg
    126.1 KB · Views: 3
Back
Top Bottom