Updates: Simba SC vs Yanga SC Uwanja wa Taifa

Kama yanga wataonyesha nidhamu basi tutawaachia maana ilivyo kama tukiwafunga jangwani hakuta kalika...lakini wakileta ujeuri tuna watandiaka vitatu kama kawaida yetu....

Magwanda anakuwa Yanga, nataani nikuone na gwanda la kijani au njano!
 
524120_10150809403968421_516243420_9693375_2077843865_n.jpg ........
 
Nawaomba wana-Yanga wenzagu tumalize game ili tujipange kwa msimu ujao. Lakini msimu huu game limekataa
 
Back
Top Bottom