Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
Mnyama oyeeeew okwiiiiii asante endeleza mapambano zaidi leo ni leo msema kesho mwongo
Kama yanga wataonyesha nidhamu basi tutawaachia maana ilivyo kama tukiwafunga jangwani hakuta kalika...lakini wakileta ujeuri tuna watandiaka vitatu kama kawaida yetu....
Magwanda anakuwa Yanga, nataani nikuone na gwanda la kijani au njano!
Yanga ipo kabambe kama chama kubwa CHADEMA. Lazima tushinde.
Mkuu nimekujibu ni 92.3 FM, wa Man city ni 89.0 FM
Ivunga unataka kukimbiza mashabiki wa yanga...
Yanga ipo kabambe kama chama kubwa CHADEMA. Lazima tushinde.
Yanga warudi kwenye ndondi zao.....
piga mdenda hawa watoto hawana heshima kabisa mineno mingi sana na ngumi ..cheza mpira hatutaki ndondi kama mnataka ndondi ombeni pambano na matumla sio kwenye footbal
Simba nitaendelee kuwalaumu kwa kitendo cha kumwachia nurdin Bakari kwenda yanga..ni mchezaji mzuri sana na tangu aende yanga amekuwa akitusubua sana