Ngoromiko
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 554
- 175
Kama miaka hiyo ya 1970 kipigo cha 6 - 0 kilisababisha pan african ikaundwa, leo hii itaundwa timu gani baada ya 5 - 0?
Young Boxers FC
Kama miaka hiyo ya 1970 kipigo cha 6 - 0 kilisababisha pan african ikaundwa, leo hii itaundwa timu gani baada ya 5 - 0?
yanga hoi simba ni mnyama mkali msipime tena kutia mguu katika himaya yake
Mimi jaguar ni yanga damu,bravo and congrats to you simba,you deserve this massive victory,(kupanda kwa simba kushuka kwa yanga and vice versa)^-1.
Are you serious????....Balatanda,yahoo naomba matokeo ya simba na Yanga..kama kuna mwingine anaweza kunijuza....
Dah!!!.....
Hii ni FEDHEHA sasa.....
Watani hamna hata HURUMA kwa Mgonjwa?........Vibaya hivyo....
Btw....Tunastahili aina yoyote ya KIPIGO kutoka kwa SIMBA...
Hongereni sana Watani kwa ushindi huu mnono ambao utachagiza upokeaji wa Kombe la Ubingwa wa EPL.....
Kweli nimeamini(mwaka 2011/2012) aungurumapo Simba mcheza nani?........Tunajipanga nasi mwakani.....
Kila la heri katika CAF CL........
Tusinyimane mualiko na kadi ya sherehe ya UBINGWA jamani...
Bala.
Usisingizie mgogoro, ni kiwango tu kipo chini. Kuna mgogoro gani utaushinda ule wa Yanga Asili na Yanga Kampuni? Mbona hamkufungwa 5 ?Miaka ile ya sabini (1976?), Yanga alipotundikwa 6-0, kulikuwa na mgogoro kwenye club ambao ulipelekea kuzaliwa kwa Pan African. Viongozi wa Yanga hawajawahi kujifunza athari za migogoro? Hii ni aibu kubwa sana kwa club. Japo siombei, club akisambaratika baada ya mechi hii, nitakuwa mmoja kati ya ambao hawatashangaa.
prediction ya matokeo ya mwisho...... simba 2: yanga 3
au mnabisha tuwatandike 5