Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,531
- 65,292
Duuuh! UKAWA inabidi wajipange kwelikweli maana kama mambo yenyewe ndio haya uchaguzi mkuu itakuwaje?nifah uchaguzi wa tarime umehairishwa kwasababu yamekamatwa masanduku yenye kura zaidi ya 6000 ambapo kura hizo zimewekwa alama ya tick kwa nyambari na waziri Kabaka.
Inshort kura zimepigwa kabla ya uchaguzi.
Hao waliokamata hayo maboks ni akina nani?
Last edited by a moderator: