Most likely jina la Patel halitarudi kutoka juu......... kuna faida pia ya "Ku post picha zake na viongozi wakuu huko Instagram na Facebook". Tuhuma za rushwa zitamuangusha Patel. Si unakumbuka 2010 Kigwangala alikuwa mshindi wa tatu kwenye kura za maoni?
Una akili sawa sawa wewe..Matiko yuko CCM? Au umezinduka toka kilabuni
Ningekuwa mwana ccm ningepatwa na hofu sana wafuasi kindakindaki wa EL kubaki ccm na kuwa kwenye vyombo nyeti vya maamuzi.
Mfano Nchimbi, Kimbisa et al. Kama unajua siasa utakuwa umenielewa
Furahia Bashe kushinda kura za maoni kwa sasa
Mkuu tupe Ukonga,Instagram kila mgombea anasema ameshinda hapo Ukonga,tupe uhalisia!!!
Hata kwa yeyote anaejua Hilo jimbo,Mengine sijasikia Utata!!ok na kule kwa kabaka Gaudensia na Matiko Easther sijui nani kashinda
Yeyote mwenye taarifa
Duuuh! UKAWA inabidi wajipange kwelikweli maana kama mambo yenyewe ndio haya uchaguzi mkuu itakuwaje?
Hao waliokamata hayo maboks ni akina nani?
Mama Tibaijuka walimvua mpaka ujumbe wa NEC kwa sakata la escrow.. Naona karudishwa na wananchi.. Ndio mjue watanzania na wapiga kura ni watu wa aina gani
Kama kuna watu alikuwa anawategemea sana Lowasa katika mikakati yake basi ni pamoja na huyu Hussein Bashe. Bashe ni miongoni mwa makada wa CCM ambao walitajwa kuhamia CHADEMA kumfuata bosi wao Lowasa. Pia alikuwepo Mussa Zungu, Kangi Lugola, Christopher Ole Sendeka nk. Ushindi wa makada hawa hakika ni pigo kubwa sana kwa Lowasa. Sidhani kama kuna dalili za yale Mafuriko ya makada wa CCM kukimbilia CHADEMA. Mpaka sasa, katika watu wake wa karibu, ni mkewe tu ndiye aliyeenda CHADEMA.
Na bado
Hata mimi nashangaa, hizi numbers zinatisha