Upanuzi wa JKNIA

Exterior View

dar-es-salam-exterior-1-61-1367838742645428762.jpg


This roof's design is inspired by sailing boats (ngalawa) na sio warehouse! It replaces the former tanzanite roof design previousely poroposed by the Chinese developers.
 
Exterior View

dar-es-salam-exterior-1-61-1367838742645428762.jpg


This roof's design is inspired by sailing boats (ngalawa) na sio warehouse! It replaces the former tanzanite roof design previousely poroposed by the Chinese developers.
Ule uzio uliozungushiwa mabati naona mabati yanazidi kuondoka siku hadi siku... zimebakia milingoti ya chuma tu... uwanja upo mweupe hapo sasa madawa yatashindwa kupitishwa?
 
kampuni hiyo iliyojenga uwanja wa schipol (amsterdam) ninaiamini. ila kwa mchoro, naona ule mchoro wa wachina ulikuwa bora zaidi kuliko huu hapa.
 
wachina walikuwa na masharti magumu kidogo kutoka vyanzo vyangu ila sasa kuna mchakato unaendelea kikubwa project ipo palepale....!
 
Bongo mambo yanavyoendeshwa bila priorities inachekesha wakati mwingine.
Hela ya kui-bail out Precision Air ipo lakini ya kuupanua huu uwanja ambao hauna hata hadhi ya kuwa wa kimataifa haitoki
 
DAR ES SALAAM | Julius Nyerere International Airport Terminal III | U/C - Page 7 - SkyscraperCity



I think its U/C now hatua za mwanzo :)



Picha sita za muonekano wa jengo jipya la uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA) baada ya ujenzi kukamilika
Harakati za maandalizi ya ujenzi wa jengo jipya (Terminal 3) la uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), zimekuwa zikiendelea polepole hali inayowatia shaka wadau wengi wa sekta hii ya usafiri wa anga. Kuanza kwa ujenzi wa jengo hilo ni jambo linalosubiriwa kwa hamu kubwa na wadau wa sekta ya usafiri wa anga kwani kukamilika kwa jengo hilo kunategemewa kuleta mabadiliko makubwa sana katika huduma zitolewazo na kuleta ufanisi mkubwa katika huduma za usafiri wa anga na hatimae kukuza uchumi wa nchi.


Hivi karibuni wataalamu na mafundi wa kampuni iliyopewa zabuni ya kujenga jengo hilo, kampuni ya BAM ya Uholanzi, walionekana wakifanya maandalizi ya mwanzo ya ujenzi huo ikiwa ni pamoja na kuzungushia uzio baadhi ya maeneo, upimaji wa ardhi na kubandika michoro yenye kuonesha jinsi taswira ya jengo hilo itakavyokuwa.


Mtandao wa Aviationtz umeshare picha zifuatazo zikionyesha maeneo mbalimbali ya jengo hilo pamoja njia za ndege.



























 
Ramani ya kwanza ya Mchina ilikuwa kali sana hapo tumepigwa changa la macho hamna kitu
 
kampuni hiyo iliyojenga uwanja wa schipol (amsterdam) ninaiamini. ila kwa mchoro, naona ule mchoro wa wachina ulikuwa bora zaidi kuliko huu hapa.

Huu mchoro ni mbaya mno, litakuwa kama godown, ule mchoro wa wachina unapendeza na ni mzuri. Hawa waholanzi wanaleta mchoro wa godown lililolembwa! Wahusika toeni takataka hii katika karne ya Sayansi na Technolojia.
 
Ramani ya kwanza ya Mchina ilikuwa kali sana hapo tumepigwa changa la macho hamna kitu

Naunga mkono hoja! Ramani ya Mchina ilikuwa bomba na inaendana na Utajiri wa nchi, lakini hii ya sasa ni MBAYA na HAIFAI kwa karne ya sasa. Ma-architect wetu wamepitisha je mchoro mbaya hivi? Hovyo kabisa.
 
Huu mchoro ni mbaya mno, litakuwa kama godown, ule mchoro wa wachina unapendeza na ni mzuri. Hawa waholanzi wanaleta mchoro wa godown lililolembwa! Wahusika toeni takataka hii katika karne ya Sayansi na Technolojia.
angalia hii kitu wenzetu wakenya wanajenga,jomo kenyata
 

Attachments

  • 7AfBnzv.jpg
    7AfBnzv.jpg
    61.5 KB · Views: 338
Back
Top Bottom