SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,318
- 1,936
hapa mungu peke yake hatoshi. Cha msingi polisi wajirekebishe vyenginevyo....!
zaidi ya mungu ni nguvu gani tena uhitaji? Mbona waongea bila kufikiria? Kuna kitu unamaanisha kwa msemo wako huo, bila mkono wa mungu unadhani utafanikiwa?