very painful!!!!!
Ni watanzania wangapi wanajua haki na wajibu wao ndani na nje ya nchi yao?ndo maana wanaojua sheria kama akina chenge wanatanua kila mahala.
huyo msukuma inawezekana ni kweli aliua mwanae,ujinga wa aina gani wa kutoa amount yote hiyo bila kosa lolote.wajinga ndiyo waliwao.He! Mkasa huo mbona cha mtoto,c bora huyo mama anakaa mjini,watu kama kova na huyo bw wa takukuru wanapata hata taarifa...chukua huu mkasa nilioukuta mkoani morogoro,wilaya ya ulanga,tarafa ya malinyi,kijiji cha biro...kuna bw m1,msukuma kwa kabila,alifiwa na mtoto wake wa umri wa miaka 2, (niseme tu kwanza hawa wasukuma wanaogopa polisi kuliko simba) kwa mujibu wa mtoa habari wangu kifo cha mtoto huyo kilisababishwa na ugonjwa wa kuharisha na kutapika. Na ukichukulia hawa mabwana wanaishi mbali mashambani. Kuna polisi m1 akasikia jamaa kafiwa akaenda kwa yule mfiwa na kumtetemesha kwa kumwambia yeye ndo kasababisha kifo cha yuke mtoto kwa uzembe wa kutompeleka mwanae haspitali,...basi,akamtaka jamaa ampatie Tsh milioni 2 la sivyo atamfungulia kesi ya mauaji. Msukuma wa watu akapiga hesabu akaomba apewe wiki 1,akauza mazao yake na ng'ombe akampatia polisi yule mshenzi tsh 2ml akatokomea zake. Mtoa habari wangu anadai hata OSS hajui hiyo deal. Imagine ndo wewe mwanao amekufa wanakuja wahuni wanakuchukulia na pesa ...matukio ni mengi!
huyo msukuma inawezekana ni kweli aliua mwanae,ujinga wa aina gani wa kutoa amount yote hiyo bila kosa lolote.wajinga ndiyo waliwao.
You should have abridged your story. Some find it boring to peruse such lengthy essays.
Hapa Mungu peke yake hatoshi. cha msingi polisi wajirekebishe vyenginevyo....!
Ni Watanzania ndo wameoza!Tanzania imeoza!
Mkopo Kesho?Freedom is coming tomorrow
Hapa sasa naanza kuelewa kwanini baadhi ya maeneotena mjihadhari kweli na traffic wa ubungo, ukikataa kuwapa pesa na wakiogopa personality yako wanakupa kesi. Mazingira ya mtoa mada yanafanana kabisa na yaliyonikuta walinipa kesi ya kumteka askari na wanakuweka celo ndio mchezo wao.
Tukichukua nchi 2015 ni kulibomoa lote na kuwapa kazi wajeda, simu lazima wakuzuie wakikuogopa.