LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,264
- 27,623
Hekima inatuelekeza kwamba "Justice should not only be done but it must also seems to be done", kwamba haki haitakiwi kutendeka tu bali inatakiwa ionekane ikitendeka.
Hata kama Privadinho kweli ni shabiki wa Yanga kweli lakini mashabiki na wapenzi wa Yanga bado hawajaridhishwa na suala la Priva kupewa nafasi hiyo Yanga kwa sababu gestures zake zina demonstrate Usimba wake.
So katika hilo kwa wanayanga haki haionekani kutendeka.
Suala la Privadinho kupewa nafasi ya uongozi Yanga halijawapendeza wana Yanga wengi.
Mashabiki wa Yanga bado wanaamini kwamba Privadinho ni mshabiki wa Simba.
Ni tusi kubwa sana kwa wana Yanga kumpa nafasi shabiki wa Simba katika eneo ambalo wapo wanachama wapenzi na mashabiki wa Yanga wenye sifa ambao Uyanga wao hauna ukakasi.
Kwako Eng. Hersi Said, please lifanyie kazi, suala la Priva lime wanyong'onyesha wana Yanga wengi sana.
Hata kama Privadinho kweli ni shabiki wa Yanga kweli lakini mashabiki na wapenzi wa Yanga bado hawajaridhishwa na suala la Priva kupewa nafasi hiyo Yanga kwa sababu gestures zake zina demonstrate Usimba wake.
So katika hilo kwa wanayanga haki haionekani kutendeka.
Suala la Privadinho kupewa nafasi ya uongozi Yanga halijawapendeza wana Yanga wengi.
Mashabiki wa Yanga bado wanaamini kwamba Privadinho ni mshabiki wa Simba.
Ni tusi kubwa sana kwa wana Yanga kumpa nafasi shabiki wa Simba katika eneo ambalo wapo wanachama wapenzi na mashabiki wa Yanga wenye sifa ambao Uyanga wao hauna ukakasi.
Kwako Eng. Hersi Said, please lifanyie kazi, suala la Priva lime wanyong'onyesha wana Yanga wengi sana.