MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,014
- 16,764
Sina tatizo na Juma Mgunda (Guardiola Mnene) kuwa Kaimu Kocha Mkuu wa Simba SC kwani natambua uwezo wake ila tatizo langu ni kwanini Matola Yeye haondoshwi Simba SC kama wanavyoondoshwa makocha wengine?
Uongozi wa Simba SC tafadhalini sana kama wenyewe kisirisiri kutokana na upumbavu wenu usiovumilika mmeamua Matola awe na Cheo cha Kocha wa kudumu (Milele Ijayo) ndani ya Simba SC mtuambie Sisi mashabiki ili tujue moja na tuache kila mara kupaza Sauti zetu za Hasira kuwa aondoshwe.
Kaka yangu Kocha Juma Mgunda jiandae kupigwa Zengwe na Matola, Kufitiniwa nae kwa Uongozi na kubwa zaidi atazungumza na Marafiki zake (Wachezaji Waandamizi) wa Simba SC ili wafungishe (waharibu) kwa makusudi ili ufukuzwe na apewe Yeye Timu na pia aendelee kuaminika na Uongozi wa Juu ambao wengiwWao ameshawafunika akili zao huko Kwao kigoma na hawana kauli juu yake.
Uongozi wa Simba SC tafadhalini sana kama wenyewe kisirisiri kutokana na upumbavu wenu usiovumilika mmeamua Matola awe na Cheo cha Kocha wa kudumu (Milele Ijayo) ndani ya Simba SC mtuambie Sisi mashabiki ili tujue moja na tuache kila mara kupaza Sauti zetu za Hasira kuwa aondoshwe.
Kaka yangu Kocha Juma Mgunda jiandae kupigwa Zengwe na Matola, Kufitiniwa nae kwa Uongozi na kubwa zaidi atazungumza na Marafiki zake (Wachezaji Waandamizi) wa Simba SC ili wafungishe (waharibu) kwa makusudi ili ufukuzwe na apewe Yeye Timu na pia aendelee kuaminika na Uongozi wa Juu ambao wengiwWao ameshawafunika akili zao huko Kwao kigoma na hawana kauli juu yake.