The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Kuna vitu viwili vinaendelea hapa tanzania
na jf pia..............
Watu wengi wanazungumzia haja na madai ya kuwepo kwa katiba
mpya...
Ambayo itakuwa ya watanzania,ya wananchi.
Itakayowapa uhuru wao na mambo mengi kwa ujumla...
Watu wengi akiwemo issa shivji,mwanakijiji na wengineo
wamedriki kusema kusema au kuunga mkono kuwa
katiba iliyopo sio tu haifai,lakini haijawahi kuwa ya wananchi......
Wakati huo huo,kuna mjadala wa kumkosoa nyerere na utawala wake
mjadala ambao cha kushangaza wale wengi wanaomtetea nyerere kuwa
alikuwa kiongozi bora na wa mfano,
na ambae alikuja kabla ya wakati wake ndio hao hao wanaodai katiba hii tuliyonayo
haifai na haijawahi kuwa ya wananchi......
Ni katiba mbovu,inayowakandamiza wananchi,haiwapi nguvu na uhuru wa kutosha
na kadhalika......
Sasa hapa swali ninalouliza ni hili.............
Inawezekanaje nyerere huyo huyo ambae alikuwa
kiongozi bora sana,na wengine mkimwita ni nabii na mtakatifu aliyekuja kabla
ya muda wake.......lakini leo katiba ile ile aliyoitumia kutawala na kuitengeneza
tuseme haifai kabisa na haina uhalali na sasa tunahitaji mpya?????????????????????????????
Mind you kuwa hatuzungumzii mabadiliko ya katiba tu
tunazungumzia katiba mpya,katiba nyingine inayofaa na sio hii ya nyerere...
na jf pia..............
Watu wengi wanazungumzia haja na madai ya kuwepo kwa katiba
mpya...
Ambayo itakuwa ya watanzania,ya wananchi.
Itakayowapa uhuru wao na mambo mengi kwa ujumla...
Watu wengi akiwemo issa shivji,mwanakijiji na wengineo
wamedriki kusema kusema au kuunga mkono kuwa
katiba iliyopo sio tu haifai,lakini haijawahi kuwa ya wananchi......
Wakati huo huo,kuna mjadala wa kumkosoa nyerere na utawala wake
mjadala ambao cha kushangaza wale wengi wanaomtetea nyerere kuwa
alikuwa kiongozi bora na wa mfano,
na ambae alikuja kabla ya wakati wake ndio hao hao wanaodai katiba hii tuliyonayo
haifai na haijawahi kuwa ya wananchi......
Ni katiba mbovu,inayowakandamiza wananchi,haiwapi nguvu na uhuru wa kutosha
na kadhalika......
Sasa hapa swali ninalouliza ni hili.............
Inawezekanaje nyerere huyo huyo ambae alikuwa
kiongozi bora sana,na wengine mkimwita ni nabii na mtakatifu aliyekuja kabla
ya muda wake.......lakini leo katiba ile ile aliyoitumia kutawala na kuitengeneza
tuseme haifai kabisa na haina uhalali na sasa tunahitaji mpya?????????????????????????????
Mind you kuwa hatuzungumzii mabadiliko ya katiba tu
tunazungumzia katiba mpya,katiba nyingine inayofaa na sio hii ya nyerere...