This Nyerere must have been a demi-god! Yaani hata uwoga na unyenyekevu wa watu viliasisiwa na Nyerere? Damn!On top of that ametuachia legacy ya wananchi walio wengi kuwa waoga kudali haki zao, wanyenyekevu kwa wageni, wasiojiamini, wanaoamini kupata shida za maisha ni haki yao etc....The ghost and legacy of Nyerere!!!