Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Ndio!!!Selasin kajiunga juzi tu tayari ni mjumbe? Kwa kuwa ni MCHAGA?
Ndio!!!Selasin kajiunga juzi tu tayari ni mjumbe? Kwa kuwa ni MCHAGA?
Kujiunga Chadema sasa ni kwa simu ya mkononi na mchango ni 300 tuu kwa mwezi.
Pasco asante sana, ripoti tu kama mwandishi maana kama mCHADEMA unaonesha uko biased.
Selous, bahati mbaya mimi sio Mchadema, na wala pia sio mwandishi, na sio mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali mshabiki wa demokrasia ya kweli ndani ya bunge, ndio maana nakikubali sana Chedema na CUF ziongeze wabunge kupunguza ukiritimba wa CCM Bungeni japo kwenye urais kwa 2010 bado, labda 2015.
Selous, bahati mbaya mimi sio Mchadema, na wala pia sio mwandishi, na sio mshabiki wa chama chochote cha siasa, bali mshabiki wa demokrasia ya kweli ndani ya bunge, ndio maana nakikubali sana Chedema na CUF ziongeze wabunge kupunguza ukiritimba wa CCM Bungeni japo kwenye urais kwa 2010 bado, labda 2015.
Nilikuwa natania mkuu....wanawake ndio gurudumu la maendeleo.
Poor Tanzania!Mke wa Mbowe alibainisha kuwa yeye siyo mwanasiasa ila ni Chadema damu. Aliyemleta duniani ndiye muasisi wa Chadema na yule Mungu aliyamchagulia ndiye mwenyekiti wa Chadema sasa.
Behind any successful man there is a woman.Kubali,ukatae habari ndio hiyo!
Behind any successful man there is a woman.Kubali,ukatae habari ndio hiyo!
Behind any successful man there is a woman.Kubali,ukatae habari ndio hiyo!
Selasin kajiunga juzi tu tayari ni mjumbe? Kwa kuwa ni MCHAGA?
Mke wa Mbowe naye anahutubia!.
Wageni waalikwa hao mkuu...wanaiga Waingereza. Si ulisikia Mbowe alikuwa shule UK miaka ya nyuma..lol
Lakini hujasema ni kitu gani anafanya huyo mwanamke behind the successful man. Wanawake wengine wako behind the successful man ili wamchune. Na wapo wanaokaa nyuma ya huyo successful man wakishangaa kutwa nzima kuwa huyu anafanikiwa vipi, mbona namwona zezeta tu? Na wengine wanawashangaa ninyi mnaosema kuwa wanaume wao ni 'successful man'!
Na ana haki ya kugombea cheo chochote kile!
Selasini yeye ni MC sidhani kama ni mjumbe wa mkutano mkuu ila ilichofanya Chadema imealika wakereketwa wake kuhudhuria kama watazamaji tuu.Pia nimemuona Rwakatware ukumbini, amepiga vazi la Kimbowe-Mbowe (Combat) imentoa kweli.Kwa mtazamo wangu, Selasini na Rwakatare power zao zinafahamika, hivyo kupatiwa nafasi za juu ni halali yao, japo madhara pekee ni kwa wale wana watiifu kunyong'onyea mwana mpotevu alipofanyiwa party.
Mke wa Mbowe alibainisha kuwa yeye siyo mwanasiasa ila ni Chadema damu. Aliyemleta duniani ndiye muasisi wa Chadema na yule Mungu aliyamchagulia ndiye mwenyekiti wa Chadema sasa.
Mkutano ulikuwa kwenye lunch break, sasa wanarudi ukumbini kuanza serious bussiness, sidhani kama naweza kuendelea kuweko, sasa ni kwa wanachama hivyo nimeonelea heri nijifukuze mwenyewe kuliko kusubiri kufukuzwa, naamini kuna wanaDema wengi tuu ambao ni ma member humu jamvini, naomba muendeleze.Hotuma ya Mbowe ninayo ni tabu zima, nitajaribu kuiscan na kuwatumia, ingawa naamini invicible anaweza pata soft copy.Asanteni sana na mchana mwema.
Mkuu Pasco,
Hapa tupo pamoja. Kuna watu wako Real Madrid tangu wana barehe. Amefika leo C. Ronaldo, kachukua nafasi yao. Hamna hata ya kukaa benchi azowee kidogo. Lazima tukubali kuwa binadamu tumepishana na hamna cha huyu Mzungu au huyu Mpingo au huyu Mchaga. Magufuli au Mwakyembe wakienda Chadema leo, huwezi utegemee wakae viti vya nyuma. Nikienda pale mie, nitawekwa nyuma kabisa na itabidi nianze kupigana kujenga jina langu kwa siku ziendavyo.