Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,943
- 156,100
Kuna baadhi ya watu huwa wanasema wana kizazi cha karibu kwa hiyo wakikutana tu na mwanaume wanapata mimba.
Jamani hivi hii imekaaje?
Mi nadhani mimba inatungwa kwa sababu yai liko sehemu inayotakiwa na limekutana na mbegu ya kiume.
Au ukweli ni upoi na uwongo ni upi?
Jamani hivi hii imekaaje?
Mi nadhani mimba inatungwa kwa sababu yai liko sehemu inayotakiwa na limekutana na mbegu ya kiume.
Au ukweli ni upoi na uwongo ni upi?