1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 6,260
- 7,936
Historia binatuambia kuwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyekuwa Raisi wa Kwanza wa Tanzania na Mwasisi wa CCM alitoka Musoma na kwenda Dar es salaam kwa waswahili tena wa Dini ya Kiislam kwa ajili ya kufanya siasa.
Alifanya mikutano ya hadhara na ya ndani.
Serikali ya Mkoloni Mzungu haikueneza Ukabila na ubaguzi kama inavyofanywa na serikali ya kikoloni ya CCM Leo inayowakataza watanzania kuwa taifa moja kwa kuwakataza watu kutoka Mbeya kwenda kufanya siasa Morogoro na kwingineko.
Eti kila mmoja akae kwenye kabila lake na kijijini kwake.
Alifanya mikutano ya hadhara na ya ndani.
Serikali ya Mkoloni Mzungu haikueneza Ukabila na ubaguzi kama inavyofanywa na serikali ya kikoloni ya CCM Leo inayowakataza watanzania kuwa taifa moja kwa kuwakataza watu kutoka Mbeya kwenda kufanya siasa Morogoro na kwingineko.
Eti kila mmoja akae kwenye kabila lake na kijijini kwake.