Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,396
- 17,992
Siasa za ndani ya chama,Sio wamevamiwa acha kupotosha sema viongozi Wa chadema wamekamtwa ni zoezi linaloendelea nchi nzima
Mmeambiwa kuwa muda Wa siasa bado nyie vichwa maji hamuelewi
Polisi kamateni wasio tii sheria
Mikutano na vikao ndani ya chama vina tatizo gani?
Hii hali italifikisha taifa mahali pabaya.
Kuna watu watachoka, atatokea mtu mbaya atawahamasisha waanzishe vurugu na uasi wa silaha.
Au watachoka watajitoa muhanga wataingia barabarani na kuivuruga serikali.