Jamaa kamuaga mkewe kuwa anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe hana lolote kahamia kwa mchuchu nyumba ya pili toka kwake. Kachukua taxi kazunguka mtaa akajitoma ndani ya nyumba ya jirani. Siku ya kwanza akalala, asubuhi alipoamka akaamua kuchungulia kwake kukoje, si akamuona jamaa yuko nje ya nyumba yake kavaa taulo lake anapiga mswaki bila wasiwasi wowote. Akapiga ukelele, 'Allo we nani?', Jamaa akajibu, 'Ahhh mshikaji mambo ya mjini, mume wa huyu demu kasafiri kaenda Songea huko mi ndo navinjari hapa'. Mume akajibu kwa uchungu, Shenzi mkubwa, ngoja nirudi toka Songea nikikukuta nakuuwa'
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums