afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,215
- Thread starter
- #21
Kuna wapumbavu wengine waliomuamini Babu Kiama wakaenda kukwangua kwenye bank accounts zao na kumkabidhi yule babu mapesa chungu nzima sasa wanalia maana akiba zao ndio zimeenda na maji na wengine wanafikiria kumfungulia mashtaka....labka anaona kiama chake yeye anadhani ni kiama cha dunia nzima.
hahahah anamatatizo kwa kweli...
na hao waliomkabidhi mali zao nawaonea huruma..
kwa kweli kuna vituko sana kipande hiyo ya dunia..
Hivi si kuna mmoja kafungwa ajili ya dini yake..
lakini huyu ilikuwa si kihama bali kulala na watotot
wadogo pamoja na mke wa kijana wake kwa madai kwamba
Mungu alimuonyesha njia .. dahhhhhhh
si vitu vya kucheka kwa kweli ila hawa watu wana
matatizo ya akili...