UNIVERSITY OF KILIMANJARO in Kenya

Nyie Tanzania si mnaviongozi machoko na usalama wa taifa wala rushwa, mnatagemea nini? Inashangaza kama hizi habari zinakuja kusikika kwenye vyombo vya habari kabla usalama wetu wa taifa haujajua. Na tuna balozi huko Kenya hajui kinachoendelea. Yaani Tanzania tunaishi kwa Neema tu. Ndiyo maana tunazalisha Tanzanite, lakini katika nchi yetu wenyewe haipatikani, isipokuwa Kenya na South Africa. Hapo ndo utaelewa Tanzania ni nini!

Ndiyo maana pia, wageni wanaweza kuturubuni na kubeba makontena ya mchanga eti wanakwenda kuchambulia dhahabu kwao, na sisi tunakubali. Ni zaidi ya uendawazimu. Yaani hii nchi yetu viongozi wake ni kama maroboti tu yanayohongozwa kwa remote, they cant think.
 
Tuache kulalamika. Tuchukue hatua pale inabidi. Je sheria za kimataifa zinasemaje kuhusu kutumia majina ya watu au vitu vya nchi nyingine? Wanasheria tusaidieni katika hili. Maana hata sisi tunatumia majina ya mitaa mfano, Ohio nk ya nchi nchi nyingine
 
Kampala univsty in Dsm haushangai?
kuna tofauti kubwa sana, hicho chuo cha kampala hapa dsm ni campus tu ya kile kilichopo kule kampala, na ni waganda wanaextend, sio wabongo waliokijenga icho chuo. sasa wewe unakijua chuo chochote hapa tz kinachoitwa university of kilimanjaro ambacho kina branch kule kenya? nahisi ulikuwa hujaelewa kidogo.
 
jamaa wanatuzidi kla idara, na hatuna jinsi ya kuwaulza, coz sisi waoga!

CCM imewaloga watz kiasi kwamba hawajui chao ni nini. Haya ni malezi ya jinsi tulivyolazwa fofofo na serikali zote zilizopita kuanzia TANU na awamu zote za serikali za CCM.
 
Tuache kulalamika. Tuchukue hatua pale inabidi. Je sheria za kimataifa zinasemaje kuhusu kutumia majina ya watu au vitu vya nchi nyingine? Wanasheria tusaidieni katika hili. Maana hata sisi tunatumia majina ya mitaa mfano, Ohio nk ya nchi nchi nyingine
tofautisha mtaa na kilimanjaro. kuna kitu fulani hivi kwenye sheria ya hati miliki ya mwaka 1999, kinaitwa folklore rights, yaani kuna vitu fulani vinavyogusa Tanzania moja kwa moja na watz pekee ndo wenye haki hizo, vitu hivyo havitakiwi kuguswa ovyoovyo. mfano. huwezi leo hii kusikia mtu ameweka chuo kikuu kule marekani akaitwa university of serengeti, university of Dar es salaam (unless ni branch/campus tu), university of ruaha, university of mwalimu nyerere (unless sisi wabongo tumeruhusu kama kilivyo cha mandela kule arusha etc). hakuna mtu yeyote mwenye haki ya kufaidika na kilimanjaro kwa namna yeyote ile ila watz, na sisi ndo wenye kazi ya kulinda hata jina la kilimanjaro lisichafuliwe kwani ukitaja tu kilimanjaro umetaja tz, serengeti, mikumi, ruaha, olduvai gauge, mt. meru etc. hii inatambulika dunia nzima...sasa watz huwa hatufuatilii vitu vyetu, ndo maana tunadharaulika.
 
nililiona ili tangazo,nikajiuliza ivi chuo kiko kenya?
ebu ngoja tuone kama bunge wanalifahamu au ndo poa tu
 
Waacheni manyang'au watupe promo jamani!Maana sisi wenyewe hatujui kujitangaza!Nimelipenda sana tangazo lao fulani hivi wanalosema njoo kenya uuone mlima kilimanjaro, watalii wakishauona watataka wapande na hapo there is no way ni lazima waingie Tanzania! Bravo majirani kwa kutupa promo kimataifa.
 
si hilo tu pia nchini kenya kuna. hospitali kuu ya kilimanjaro kuna pia kilimanjaro conference centre. shule ya upili ya kilimanjaro na kitengo katika GSU kinachoitwa kilimanjaro na kadhalika. pia shuleni katika somo la geographia kilimanjaro imeonyeshwa kuwa kenya

Wakazi wa Taveta wanaishi katika miteremko ya Ml. Kilimanjaro, ni haki yao kutumia jina la mlima, so do haki ya Wakenya wote.
Muwaache wapumuwe!
 
Waacheni manyang'au watupe promo jamani!Maana sisi wenyewe hatujui kujitangaza!Nimelipenda sana tangazo lao fulani hivi wanalosema njoo kenya uuone mlima kilimanjaro, watalii wakishauona watataka wapande na hapo there is no way ni lazima waingie Tanzania! Bravo majirani kwa kutupa promo kimataifa.

Unajua kuwa kwenye utalii hospitality services ndio zinaingiza hela kuliko gate collection?
Mtalii atakuja Kenya, atakaa hotelini kwa dolari 250 per day, atatoka na malaya wa kikenya na kumpa dola 100, atahudhuria matamasha ya muziki na kula vyakula vyao, atakodi gari lililosajiliwa Kenya.
Atakuja huku atalipa kiingili na hela za potter ambazo hazifiki dola 200.
Nani mjanja hapo?
 
Wakazi wa Taveta wanaishi katika miteremko ya Ml. Kilimanjaro, ni haki yao kutumia jina la mlima, so do haki ya Wakenya wote.
Muwaache wapumuwe!
naomba uniambia wakenya wana haki ipi katika mlima kilimanjaro, kama mlima ule miteremko yake imefika hadi kenya tuambie ili leo tujifunze jiografia na ramani mpya. ni kwa naman gani wakenya wana haki na mlima ule hadi kufikia kitendo cha kutumia kitu ambacho tz pekee ndo wana hakimiliki? nampongeza mleta mada.
 
Unajua kuwa kwenye utalii hospitality services ndio zinaingiza hela kuliko gate collection?
Mtalii atakuja Kenya, atakaa hotelini kwa dolari 250 per day, atatoka na malaya wa kikenya na kumpa dola 100, atahudhuria matamasha ya muziki na kula vyakula vyao, atakodi gari lililosajiliwa Kenya.
Atakuja huku atalipa kiingili na hela za potter ambazo hazifiki dola 200.
Nani mjanja hapo?

Kweli hapo tumeliwa mkuu! Lakini wakiingia Moshi na Arusha wakaona kuna mahoteli pia nadhani mara ya pili watachukua Twiga airways (Qatar airways) na watatua KIA moja kwa moja badala ya kupitia kwa kwao na watawaambia wenzao pia!!
 
ila wanapinga sie kujenga barabara itakayopita serengeti kwa kiwango cha lami coz they know tutauwa utalii wao na hasa uhamaji wa wanyama....jino kwa jino...au kama vipi wasijenge uwanja huo wa ndege ili wetu wa kia uendelee kuishi.


Umetoka kwenye mada mheshimwa.
 
Wabongo tumelala sana! Na bado wataanzisha ngorongoro hotel
sio muda mrefu utasikia kule kwao kuna serengeti hotel, ngorongoro hotel, kilimanjaro hotel, bagamoyo hotel, kila kitu. kwasababu sisi hatuwezi kufanya kitu, ajabu kweli jamani tutalala hadi lini? viongozi wetu wanawaza tu kuvaa mashati ya kijani muda wote, vitu muimu vinavyogusa maslahi na utambulisho wa tz hawavijali kabisa.
 
waacheni wakenya wapumuwe!!! nyie huku mnakojolea kuran, wenzenu wanajenga vyuo na kuviita kwa majina ya kwenu!
 
waacheni wakenya wapumuwe!!! nyie huku mnakojolea kuran, wenzenu wanajenga vyuo na kuviita kwa majina ya kwenu!
sisi hatukojolei kuran, aliyefanya hivyo ni mtoto mdogo. huna watoto kwenu wewe, hujazaa? utakapokuja kuzaa utajua kuwa mtoto wa mwenzio ni wako tu, na watoto huwa wanasumbua sana. kuweka liability ya alichokifanya mtoto kwa watu wazima au watz wote ni upungufu wa akili. zaidi ya yote, ikikojolewa moja, zingine si zimebaki? na pia, allah si ndo maandishi yake yale, atajipigania kwanini mmtetee kwasababu hananguvu? vitabu vyenyewe ivyo si vynachapwa apahapa duniani? kuna viwanda kabisa vinachapa si mtachapa vingine kile kilichokojolewa kitupwe mpate vile vizuri? akili ni kitu cha muhimu sana...dini zingine huficha akili za watu kabisa aisee. mbona jambo dogo sana mmeshupalia hadi leo?
 
Nyie Tanzania si mnaviongozi machoko na usalama wa taifa wala rushwa, mnatagemea nini? Inashangaza kama hizi habari zinakuja kusikika kwenye vyombo vya habari kabla usalama wetu wa taifa haujajua. Na tuna balozi huko Kenya hajui kinachoendelea. Yaani Tanzania tunaishi kwa Neema tu. Ndiyo maana tunazalisha Tanzanite, lakini katika nchi yetu wenyewe haipatikani, isipokuwa Kenya na South Africa. Hapo ndo utaelewa Tanzania ni nini!

Ndiyo maana pia, wageni wanaweza kuturubuni na kubeba makontena ya mchanga eti wanakwenda kuchambulia dhahabu kwao, na sisi tunakubali. Ni zaidi ya uendawazimu. Yaani hii nchi yetu viongozi wake ni kama maroboti tu yanayohongozwa kwa remote, they cant think.
ni majuha yaliyoshika madaraka! period! inauma sana kwa kweli!
 
Back
Top Bottom