voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,553
- 11,885
Wakati Huku TZ tukiwasifia kwa Demokrasia pevu wakenya, pia tutafakari na hii:
41Bilions K/shs,+ 4.1bilions K/shs,+700 milionsK/shs,+ 851 millions, K/shs.+800millions, K/shs!
Ebu jumlisha hizo pesa, kisha Convert hizo pesa kuja Tanzania Shillings, halafu unaambiwa ni ukwasi wa watu waliowahi kuhudumu katika serikali.
Nimetafakari sana kusikia kwamba Ukwasi walioutaja leo ambapo wamehojiwa Mawaziri watatu pekee.
Kwanza nianze na Rais Ruto pekee ambaye yuko kwenye orodha ya matajiri kumi wa Kenya akiwa na ukwasi wa 41 billions Kenya shillings.
Halafu makamu wake Richard Gachagua yeye anao ukwasi wa 800millios, Kenya shillings, pamoja na zile 200 millions Kenya shillings ambazo zilikuwa zimetaifishwa na serikali anafikisha jumla ya ukwasi wa 1 bilion, Kenya shillings.
Leo hii Musalia Mudavadi ambae ni waziri mkuu mteule, Ametaja kuwa ukwasi wake ni 4.1bilions Kenya shillings.
Kuna mwanasheria mkuu mteule Justin Muturi ambae amesema ana ukwasi wa 700 millions, Kenya shillings.
Mwingine aliefika leo mbele ya kamati hiyo ni Waziri wa Ulinzi mteule Hassan Dualle ambaye ametaja ukwasi wake kuwa ni 851 millions, Kenya shillings.
Hao ni kwa uchache, lakini orodha ni ndefu na pia ukwasi ni mkubwa sana!
Kesho orodha itaendelea kwenye kamati hiyo.
MY Take: Ni kwa namna gani hawa watu ambao miaka michache tu iliyopita waliingia serikalini kuhudumu kama watumishi wa umma. Wameweza kujikusanyia ukwasi wote huo?
Walau Rutto tunajua alineemeka pale Rais Moi,alipomlazimusha kuacha masomo yake chuo kikuu Nairobi na akamteua kuongoza YK92, ambapo alipewa jukumu la kuhakikisha anawalainisha wapinzani wote wa Moi, ili kumuunga mkono katika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi nchini humo.
Ni hapo ambapo alijinufaisha na mamilioni yaliyotolewa na Moi ili kuwahonga wapinzani wake.
Sasa kwenye uchaguzi uliopita!
Rutto aliweza kuwaaminisha walalahoi wa Kenya kuwa anatetea hustlers wa Kenya akijinasibu na lile toroli.
Lakini ukweli ni kwamba uchaguzi ule ulikuwa ni upinzani kati ya kambi mbili ambazo ni:
Ile ya watoto wa wanasiasa wenye majina katika historia ya Kenya kina Uhuru Kenyatta, Gideon Moi, Raila Odinga na wenzao wengine
Dhidi ya kundi la waliowahi kuwa watumishi wa umma na kujitajirisha kupitia ufisadi mbalimbali, kulingana na nafasi walizowahi kuhudumu hapo awali, wakiongozwa na William Samoei Ruto, Musalia Mudavadi na Richard Gachagua na wenzao.
Kwa ukwasi huo hapo juu ni wazi kwamba wakenya wameruka matope na kukanyaga maji.
"Mwanasiasa akikwambia usiku umeingia, huku mkiwa ndani, vema utoke nje ukajiridhishe mwenyewe"
Alamsikhi
View attachment 2390694
41Bilions K/shs,+ 4.1bilions K/shs,+700 milionsK/shs,+ 851 millions, K/shs.+800millions, K/shs!
Ebu jumlisha hizo pesa, kisha Convert hizo pesa kuja Tanzania Shillings, halafu unaambiwa ni ukwasi wa watu waliowahi kuhudumu katika serikali.
Nimetafakari sana kusikia kwamba Ukwasi walioutaja leo ambapo wamehojiwa Mawaziri watatu pekee.
Kwanza nianze na Rais Ruto pekee ambaye yuko kwenye orodha ya matajiri kumi wa Kenya akiwa na ukwasi wa 41 billions Kenya shillings.
Halafu makamu wake Richard Gachagua yeye anao ukwasi wa 800millios, Kenya shillings, pamoja na zile 200 millions Kenya shillings ambazo zilikuwa zimetaifishwa na serikali anafikisha jumla ya ukwasi wa 1 bilion, Kenya shillings.
Leo hii Musalia Mudavadi ambae ni waziri mkuu mteule, Ametaja kuwa ukwasi wake ni 4.1bilions Kenya shillings.
Kuna mwanasheria mkuu mteule Justin Muturi ambae amesema ana ukwasi wa 700 millions, Kenya shillings.
Mwingine aliefika leo mbele ya kamati hiyo ni Waziri wa Ulinzi mteule Hassan Dualle ambaye ametaja ukwasi wake kuwa ni 851 millions, Kenya shillings.
Hao ni kwa uchache, lakini orodha ni ndefu na pia ukwasi ni mkubwa sana!
Kesho orodha itaendelea kwenye kamati hiyo.
MY Take: Ni kwa namna gani hawa watu ambao miaka michache tu iliyopita waliingia serikalini kuhudumu kama watumishi wa umma. Wameweza kujikusanyia ukwasi wote huo?
Walau Rutto tunajua alineemeka pale Rais Moi,alipomlazimusha kuacha masomo yake chuo kikuu Nairobi na akamteua kuongoza YK92, ambapo alipewa jukumu la kuhakikisha anawalainisha wapinzani wote wa Moi, ili kumuunga mkono katika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi nchini humo.
Ni hapo ambapo alijinufaisha na mamilioni yaliyotolewa na Moi ili kuwahonga wapinzani wake.
Sasa kwenye uchaguzi uliopita!
Rutto aliweza kuwaaminisha walalahoi wa Kenya kuwa anatetea hustlers wa Kenya akijinasibu na lile toroli.
Lakini ukweli ni kwamba uchaguzi ule ulikuwa ni upinzani kati ya kambi mbili ambazo ni:
Ile ya watoto wa wanasiasa wenye majina katika historia ya Kenya kina Uhuru Kenyatta, Gideon Moi, Raila Odinga na wenzao wengine
Dhidi ya kundi la waliowahi kuwa watumishi wa umma na kujitajirisha kupitia ufisadi mbalimbali, kulingana na nafasi walizowahi kuhudumu hapo awali, wakiongozwa na William Samoei Ruto, Musalia Mudavadi na Richard Gachagua na wenzao.
Kwa ukwasi huo hapo juu ni wazi kwamba wakenya wameruka matope na kukanyaga maji.
"Mwanasiasa akikwambia usiku umeingia, huku mkiwa ndani, vema utoke nje ukajiridhishe mwenyewe"
Alamsikhi
View attachment 2390694